Hongera man...tuko wengi kwenye hii decision ulochagua....nikupe tu moyo kua ...na mimi pia niko kwenye mrengo huu...na kwakweli...everything is fine kabisa...asikudanganye mtu..
Mimi ni mwamaume mwenye wivu...hizi kauli "kugongewa ni kawaida" ndo kabisaaaaa..zinaniaminisha kua uamuzi wangu ni sahihi...
heri puli kuliko "kugongewa ni kawaida", welcome to the stress free world bro.
NB: ninazo forms za adoptions kwa ajili ya kupewa mtoto..(kwa sababu mimi nilishaanza hizi taratibu) ila ni gharama kidogo..andaa not less than 5M, wanasheria..survey etc.