ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
- Thread starter
-
- #121
Pamoja sana kaka maisha ni popote na maisha ni vile unavo yataka yaweee hope huku nita enjoy sana kuliko Stress za KuoaHongera man...tuko wengi kwenye hii decision ulochagua....nikupe tu moyo kua ...na mimi pia niko kwenye mrengo huu...na kwakweli...everything is fine kabisa...asikudanganye mtu..
Mimi ni mwamaume mwenye wivu...hizi kauli "kugongewa ni kawaida" ndo kabisaaaaa..zinaniaminisha kua uamuzi wangu ni sahihi...
heri puli kuliko "kugongewa ni kawaida", welcome to the stress free world bro.
NB: ninazo forms za adoptions kwa ajili ya kupewa mtoto..(kwa sababu mimi nilishaanza hizi taratibu) ila ni gharama kidogo..andaa not less than 5M, wanasheria..survey etc.
Mkigombana mwenzio anawanza kuwaza kutoka Kwenda kuolewa kwingineee!!!!Kununiana na kugombana pia kuna raha yake ati!
Hapa kuna watu wa jinsia ME wataanza kukunyatia waoe
Sijaona kwenye dini ukilazimishwa kuoa ila unashauliwa kuoaKwa wakristu kuoa au kuolewa si lazma kama tu utaweza kuzishinda tamaa za mwili.
Field ya niniMkuu upo kwenye field gani?
Hivi kwanini umeamua kunipotezea mazima?Sasa unamtangazia nani
Sijaomba kubembelezwa nimewashirikisha mawazo yangu!Kwa hiyo unataka tukubembeleze uoe? Kwanza nani alikuambia kuna uhusiano wowote kati ya kuoa na kupata watoto?
Sitaki na Sina tabia hizooeti mfanyakazi wa ndani na mtoto....kama sio kutuzuga nini.....unataka umle mzigo mfayakazi wa ndani af unadai hutaoa....
Ni heriii hilooHuyu jamaa yuko radhi akasomeshe na kulea mtoto wa kuasili/ adapt kuliko kuhonga (au kuombwa hela na) mwanamke wake na akazaliwa watoto wake. Si bure ana jambo.
Mkuu nacho kataa kupata mtoto ni kuwa familia wanaitaka nimuoe kabisa sasa sifanyi vyoyeHongera sana mkuu, Kila mara nasema kuwa hakuna umuhimu wowote wa kuoa zaidi ya kupata stresses.
Ila jitahidi upate mtoto na mwanamke yeyote tu halafu umlee mtoto na mama yake bila mkataba wowote wa kindoa.
Hongera sana.
Kweli mkuu Acha tuuu hawa watu ni pasua kichwanimekuunga mkono, mwanamke ni kiumbe asiye ridhika labda atafute mwenyewe. vya kupewa kwake siku zote havitoshi. mpk dushe haiwatoshagi
Hajalazimisha ila ndiyo maana wanasema kama unaweza kuzishinda tamaa za mwili basi si lazma kuoa.Sijaona kwenye dini ukilazimishwa kuoa ila unashauliwa kuoa
Hivi kwanini umeamua kunipotezea mazima?
Unafanya kazi gani?Field ya nini
Kwani unafuata maamuzi ya familia au maamuzi yako mwenyewe?Mkuu nacho kataa kupata mtoto ni kuwa familia wanaitaka nimuoe kabisa sasa sifanyi vyoye
Mtaa wa pili naona makitu yako pending.... au ulibadili chimbo?My beibeee nimekusaka haswaa sikupati et mpaka nikahama mtaa ule
Mtaa wa pili naona makitu yako pending.... au ulibadili chimbo?