Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

Mkuu danya heshima kwako. Nimekusoma vizuri. Pole sana. Mkuu hiyo unayopitia sio hali ya kawaida japo kwako wewe mwenyewe na baadhi ya watakao kuunga mkono (obviously nao ni kutokana na experiences zao pia) itaonekana ni sahihi. Umefafanua in detail mazingira yaliyokushawishi ufikie uamuzi huo.

Samahani sana ndugu yangu....hauko sahihi. Natambua, kuheshimu na kuhurumia hisia zako kwa dhaMkuu danya nimekusoma. Pole sana. Mkuu hiyo unayopitia sio hali ya kawaida japo kwako wewe mwenyewe na baadhi ya watakao kuunga mkono (obviously nao ni kutokana na experiences zao pia) itaonekana ni sahihi. Umefafanua in detail mazingira yaliyokushawishi ufikie uamuzi huo.

Samahani sana ndugu yangu....hauko sahihi. Natambua, kuheshimu na kuhurumia hisia zako kwa dhati kabisa. Inawezekana wewe mwenyewe umekuwa victim wa mahusiano au umeshuhudia hizo dhoruba zikiwatokea watu wengine kiasi kwamba zimekuathiri kisaikolojia.

Japo ingefaa kupata maelezo yako zaidi (ya nyuma ya pazia), lakini kwa kusoma maandishi yako hapa tu nashawishika kusema kuwa una medical condition inayoitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD). Nakupa homework ui-google ili ujitathmini.

Ushauri:
1. Hata kama unajiona uko poa (while in actual sense you are not), nenda kawaone wataalamu wakupe ushauri nasaha. You need urgent psychotherapy.

2. Usipokuwa makini hali uliyonayo sasa (current mental health status) inaweza ku-escalate na kuishia kuwa na chains ya matatizo mengine mapya huko baadae. It can be too late then. Unless kama ulichoandika ni fiction tu.

3. Huku nikiamini kuwa mapenzi hayana "gwiji" kwa wale wanaopenda kiukweli, bado una nafasi ya kuamua kupenda na hatimaye kupata mwanamke ambaye atakufanya ujione kumbe mwanzoni ulikuwa gravely wrong. Muhimu tu ni kuwa jitahidi kutumia akili. Sisi wote ni wahanga wa mapenzi.

4. Jizuie ku-jump into conclusions na kufanya maamuzi makubwa katika maisha unapokuwa uko kwenye stress ya aina fulani. Sina nia ya kuku-judge mkuu danya lakini nahisi umekurupuka kimtindo. Never say never....Ha ha ha.

5. Anza mchakato wa kutafuta ubavu wako when it not too late. Kumbuka kuwa kisichokuua basi kitakufanya uwe imara zaidi. Hata hao wazazi na ndugu zako unaosema kuwa ndio wenye haki ya kula hela zako kumbuka nao mahusiano hayakuwa/hayako rosy or honeymoon kila siku. Ups and downs zipo muhimu tu ni kwamba lazima ziwe within manageable range (which is also subjective).

6. Tafuta watu sahihi katika mazingira yako (kazini, nyumbani etc) wakupe pande zote za shilingi kwenye mapenzi. Inaonyesha huna role models wazuri kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Kila la kher ndugu yangu and sorry mkuu kwa kuandika maneno mengii na kama nitakuwa nimevuka mstari kwenye maelezo yangu in any way.
ti kabisa. Inawezekana wewe mwenyewe umekuwa victim wa mahusiano au umeshuhudia hizo dhoruba zikiwatokea watu wengine kiasi kwamba zimekuathiri kisaikolojia.

Japo ingefaa kupata maelezo yako zaidi (ya nyuma ya pazia), lakini kwa kusoma maandishi yako hapa tu nashawishika kusema kuwa una medical condition inayoitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD). Nakupa homework ui-google ili ujitathmini.

Ushauri:
1. Hata kama unajiona uko poa (while in actual sense you are not), nenda kawaone wataalamu wakupe ushauri nasaha. You need urgent psychotherapy.

2. Usipokuwa makini hali uliyonayo sasa (current mental health status) inaweza ku-escalate na kuishia kuwa na chains ya matatizo mengine mapya huko baadae. It can be too late then. Unless kama ulichoandika ni fiction tu.

3. Huku nikiamini kuwa mapenzi hayana "gwiji" kwa wale wanaopenda kiukweli, bado una nafasi ya kuamua kupenda na hatimaye kupata mwanamke ambaye atakufanya ujione kumbe mwanzoni ulikuwa gravely wrong. Muhimu tu ni kuwa jitahidi kutumia akili. Sisi wote ni wahanga wa mapenzi.

4. Jizuie ku-jump into conclusions na kufanya maamuzi makubwa katika maisha unapokuwa uko kwenye stress ya aina fulani. Sina nia ya kuku-judge mkuu danya lakini nahisi umekurupuka kimtindo. Never say never....Ha ha ha.

5. Anza mchakato wa kutafuta ubavu wako when it not too late. Kumbuka kuwa kisichokuua basi kitakufanya uwe imara zaidi. Hata hao wazazi na ndugu zako unaosema kuwa ndio wenye haki ya kula hela zako kumbuka nao mahusiano hayakuwa/hayako rosy or honeymoon kila siku. Ups and downs zipo muhimu tu ni kwamba lazima ziwe within manageable range (which is also subjective).

6. Tafuta watu sahihi katika mazingira yako (kazini, nyumbani etc) wakupe pande zote za shilingi kwenye mapenzi. Inaonyesha huna role models wazuri kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Kila la kher ndugu yangu and sorry mkuu kwa kuandika maneno mengii na kama nitakuwa nimevuka mstari kwenye maelezo yangu in any way.
Kaka nimekuelewa sana tena sanaaaa ukizingatia psychiatric na mimi nimeisoma najua ni jinsi gani stress zinavyo weza kukuletea Mdhara pi najua ubongo ukiathiriwa kisaikolojia unaweza kukuletea Madhara!

Natambua kuwa katika kile ulicho nishauri umenishauri kulingana na clinical indication za Psychiatric patient ile ya ANY BEHAVIOUR MUST BE CONSIDERED kwa kutumia hio umefikia kuona mimi ni kama psychiatric patient ambaye nimesababishwa na STRESS zilitokana na kuharibika kisaikolojia

Natambua kuwa Everyone ni psychiatric patient katika hii dunia! Lakini mkuu kiukweli mimi nimefikia huo uamuzi kutokana na mambo mengi! Kabla ya kufikia conclusion ulio fikia ilitakiwa mkuu ujiulize je hizo sababu nilizo ainisha hapo juu katika mazingaira ya kawaida zina nguvu kiasi gani na je advanteges za mtu alie oa over ambae hajao inakuwaje na nini umuhimu wake

Yoyote yoyote nashukuru kwa Ushauri kaka
 
Unaweza ukawaza upya jinsi unavyoyachukulia mahusiano hasa ya mume na mke.. It's all about give and take,
Pia find where the true happiness come from itakusaidia sana bro
Ni kweli kaka sahizi ninacho fanya nikiwa buzy na kazii mda wa kazi ukipita naenda kurelax cinemax,club,na sehemu nyingine nikirudi na lala! Yaani najikeep buzy na kuwaepukaa kabisa hawa wadada.......Kazini nawaona wadada wa kila aina! Lakini sina mpango
 
Eti atajitahidi kusaka hela aishi kwa furaha bila mwanamke wala mtoto,angalia jinsi akili zake zlilivyo mbaya,anataka aishi kinyume na nature,sababu mwanaume ameumbiwa mwanamke ili awe pozo la roho yake,pili sio kwamba wanawake wote ni wabaya,hata wanaume sio wote ni wazuri la hasha,huyu atakuja kugeuka MAUMBA na kunajisi watoto,sababu mwanaume lazima apate mwanamke wa kupanda ili kuendeleza cycle.
Unaweza kuishi kwa furaha bila mwanamke,mimi siamini kama kuishi na mwanamke kunaleta Furaha yoyote ile katika maisha!
 
Habarini,

Mimi ni mtu mzima na nina Akili timamu nimefikia maamuzi ya kutokuja kuoa wala kuwa na moto maisha yangu yote! Sio kwamba sina uwezo wa kuoa lahasha nina uwezo wa kuoa hata wanawake wa 5 na kupata watoto chungu nzima lakini nimekaa nimetafakari sana nimeamua kufikia mamuzi hayo.

Baada ya kuteseka sana na mapenzi ya umri wetu, baada ya kushuhuduia ujinga na usaliti wanao fanya akina dada wa miaka hii, mateso ya kwenye ndoa wanayo yapata watu na adha zingine chungu nzima mimi nimefikia hatua kutotaka kuoa wala kupata mtoto

Nina kazi yangu nzuri tu ambayo naweza kumudu kulea familia hata ya watu 10 lakini kamwe sitokaa kudhubutu kuoa na kuwa na mtoto na sitaki utani katika hili! Nimesh ichosha sana akili yangu katika mapenzi na nimeshuhudia mengi sana katika mapenzi sasa bahati mbaya yote niliyokuwa nayashuhudia ni ya usaliti na mateso katika ndoa na hii inatoka na akili walizonazo dada zetu.

Hivyo sina mda wa kukaa kuchambua kupata huyu anafaa huyu hafai huo mda sina nitahakikisha nafanya kila niwezalo kwa kutumia uwezo wangu wote niwe na maisha mazuri miaka yote! Jasho langu watafaidi wadogo zangu na wazazi wangu, nitapigania kufa na kupona katika kusaka pesa! Katika kumshukuru Mungu kwa pale alipo nifikisha nita adapte mtoto mmoja yatima nitamsomesha na kuishi naye miaka yote tena shule nzuri nitampeleka! Nyumba yangu itakuwa na mfanyakazi mmoja na mtoto mmoja na mimi basi.

Dada yoyote hatadhubutu kuja kwangu kwa namna yoyote ile na wala asijipendekeze kuja kwangu labda awe hana uwezo wa kuzaa ambao hospitalini wamethibitisha ili asije kunikeletea vimimba vya uwongo na ukweli.

Sitaki stress siku hata nikiwa sina hata mia nitaishi kwa amani hakuna wakunisumbua kuliko kuwa na mke sa nne usiku kakuomba hela unamwambia sina mnalala wote sa kumi na mbili asubuhi anakuomba tena hela hivi usiku anadhani alilala peke ake? Mimi nilikuwa kutafuta pesa? Mwisho wa siku mnaishia kugombana na kununiana hiyo mimi hapana sitaki kabisa.

Mwisho haya ni maamuzi binafsi nimeamua kushare nanyi.
So yo wanna be hardcore, mic holder a.k.a microphone murderer huh? If yo decided so, then I have 10 packs of geisha soap. Mr microphone murderer.
 
Uamuz wa busara tu si kila furaha yko ni furaha kwa mwngne,kila mtu anamaamuz yke mi mwnyw cfikirii km me au ke ndo furaha vpo zaid ya hvyo wazazi wngu na ndgu zangu kwa ujumla ni furaha tosha maishan mwngu na nainjoy kuwa karbu nao kuliko mpnz!!!!
 
Habarini,

Mimi ni mtu mzima na nina Akili timamu nimefikia maamuzi ya kutokuja kuoa wala kuwa na moto maisha yangu yote! Sio kwamba sina uwezo wa kuoa lahasha nina uwezo wa kuoa hata wanawake wa 5 na kupata watoto chungu nzima lakini nimekaa nimetafakari sana nimeamua kufikia mamuzi hayo.

Baada ya kuteseka sana na mapenzi ya umri wetu, baada ya kushuhuduia ujinga na usaliti wanao fanya akina dada wa miaka hii, mateso ya kwenye ndoa wanayo yapata watu na adha zingine chungu nzima mimi nimefikia hatua kutotaka kuoa wala kupata mtoto

Nina kazi yangu nzuri tu ambayo naweza kumudu kulea familia hata ya watu 10 lakini kamwe sitokaa kudhubutu kuoa na kuwa na mtoto na sitaki utani katika hili! Nimesh ichosha sana akili yangu katika mapenzi na nimeshuhudia mengi sana katika mapenzi sasa bahati mbaya yote niliyokuwa nayashuhudia ni ya usaliti na mateso katika ndoa na hii inatoka na akili walizonazo dada zetu.

Hivyo sina mda wa kukaa kuchambua kupata huyu anafaa huyu hafai huo mda sina nitahakikisha nafanya kila niwezalo kwa kutumia uwezo wangu wote niwe na maisha mazuri miaka yote! Jasho langu watafaidi wadogo zangu na wazazi wangu, nitapigania kufa na kupona katika kusaka pesa! Katika kumshukuru Mungu kwa pale alipo nifikisha nita adapte mtoto mmoja yatima nitamsomesha na kuishi naye miaka yote tena shule nzuri nitampeleka! Nyumba yangu itakuwa na mfanyakazi mmoja na mtoto mmoja na mimi basi.

Dada yoyote hatadhubutu kuja kwangu kwa namna yoyote ile na wala asijipendekeze kuja kwangu labda awe hana uwezo wa kuzaa ambao hospitalini wamethibitisha ili asije kunikeletea vimimba vya uwongo na ukweli.

Sitaki stress siku hata nikiwa sina hata mia nitaishi kwa amani hakuna wakunisumbua kuliko kuwa na mke sa nne usiku kakuomba hela unamwambia sina mnalala wote sa kumi na mbili asubuhi anakuomba tena hela hivi usiku anadhani alilala peke ake? Mimi nilikuwa kutafuta pesa? Mwisho wa siku mnaishia kugombana na kununiana hiyo mimi hapana sitaki kabisa.

Mwisho haya ni maamuzi binafsi nimeamua kushare nanyi.
Kama uwezo unaruhusu, adopt wawili au watatu, utakuwa umesaidia sana watoto wa mitaani!
 
bora kutokuoa kuliko kuwaka tamaa.... ongera zako ...
Ni bora kuoa kuliko kuwaka tamaa. Kama unaweza kuishi bila ya kuoa na ukadhibiti tamaa za mwili fanya hivyo, la sivyo unashauriwa kuoa.
 
Sikulaumu kwa maamuzi uliyoyafanya,mapenzi na ndoa nyingi zimekuwa ni vigelegele na sherehe za mamilioni zinazoishia na makwaruzano na usaliti mkubwa .
Baadhi ya uongo wa sisi wadada unafanya wengine wenye uaminifu kuingia kwenye kundi moja la hao wadada waongo wa mujini.
Pole sana kaka,kama imepangwa utampata wako wa ukweli.
 
kila la kheri...
ila usije ukawaka tamaa wala kupiga nyeto
 
Habarini,

Mimi ni mtu mzima na nina Akili timamu nimefikia maamuzi ya kutokuja kuoa wala kuwa na moto maisha yangu yote! Sio kwamba sina uwezo wa kuoa lahasha nina uwezo wa kuoa hata wanawake wa 5 na kupata watoto chungu nzima lakini nimekaa nimetafakari sana nimeamua kufikia mamuzi hayo.

Baada ya kuteseka sana na mapenzi ya umri wetu, baada ya kushuhuduia ujinga na usaliti wanao fanya akina dada wa miaka hii, mateso ya kwenye ndoa wanayo yapata watu na adha zingine chungu nzima mimi nimefikia hatua kutotaka kuoa wala kupata mtoto

Nina kazi yangu nzuri tu ambayo naweza kumudu kulea familia hata ya watu 10 lakini kamwe sitokaa kudhubutu kuoa na kuwa na mtoto na sitaki utani katika hili! Nimesh ichosha sana akili yangu katika mapenzi na nimeshuhudia mengi sana katika mapenzi sasa bahati mbaya yote niliyokuwa nayashuhudia ni ya usaliti na mateso katika ndoa na hii inatoka na akili walizonazo dada zetu.

Hivyo sina mda wa kukaa kuchambua kupata huyu anafaa huyu hafai huo mda sina nitahakikisha nafanya kila niwezalo kwa kutumia uwezo wangu wote niwe na maisha mazuri miaka yote! Jasho langu watafaidi wadogo zangu na wazazi wangu, nitapigania kufa na kupona katika kusaka pesa! Katika kumshukuru Mungu kwa pale alipo nifikisha nita adapte mtoto mmoja yatima nitamsomesha na kuishi naye miaka yote tena shule nzuri nitampeleka! Nyumba yangu itakuwa na mfanyakazi mmoja na mtoto mmoja na mimi basi.

Dada yoyote hatadhubutu kuja kwangu kwa namna yoyote ile na wala asijipendekeze kuja kwangu labda awe hana uwezo wa kuzaa ambao hospitalini wamethibitisha ili asije kunikeletea vimimba vya uwongo na ukweli.

Sitaki stress siku hata nikiwa sina hata mia nitaishi kwa amani hakuna wakunisumbua kuliko kuwa na mke sa nne usiku kakuomba hela unamwambia sina mnalala wote sa kumi na mbili asubuhi anakuomba tena hela hivi usiku anadhani alilala peke ake? Mimi nilikuwa kutafuta pesa? Mwisho wa siku mnaishia kugombana na kununiana hiyo mimi hapana sitaki kabisa.

Mwisho haya ni maamuzi binafsi nimeamua kushare nanyi.
 
Tuliza akili kwanza streess ziishe,
Unapenda mabinti warembo alafu unataka ule peke yako na ulikuta imeshatumika,

Kuwa mwanaume., Mwanamke c wakumuonea wiv.

Mwanamke usimuonee kinyaa.

Maujuz na hela vinaendana,

Kugongewa kawaida ht kipindi unaanza ww jua kuna ambae aliumia

Mwanamke akikwambia hana mpenzi hizo ni swaga tu!

Kuchapiwa sir za ndan acha kukata tamaa.

Ni kweli kabisa Mkuu!
 
Back
Top Bottom