Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,351
Mkuu mshukuru sana Mungu..
na usirudie tena kwenye mitego kama hiyo leo hii utakiona kitoto cha miaka 20 ukadhani kipo -ve kumbe ndio kina wadudu wakali kuliko hata wale wa Yebora...
Sisi vijana wakiume hua tunapita katika majaribu mazito na tunahitaji neema ya Mungu ili kutuepusha na maafa haya, nakumbuka kama Wiki mbili zilizopita ilikuwa siku ya Jumapili, nilikuwa nipo kwenye Hotel Moja hapa Stone Town hua wanapiga muziki kila siku kuanzia mida ya saa 10 jioni mpaka saa4 usiku, mimi nilikuwa nimekaa kaunta napata kinywaji pamoja na Shisha yangu nipo na washikaji, pembeni yangu alikuwa amekaa mama mmoja anakunywa Whisky alikua ananiangalia kwa wizi wizi na mimi nikawa namwangalia hivyo hivyo baadae akasogea na kuanza kuniuliza hiyo unayovuta nini nikamwambia niShishaaina ya Kiburudisho tu sio kilevi kama Sigara au Tumbaku, akaomba kujaribu kuvuta nikampa baada ya hapo tukaanza piga story za kawaida akaomba simu yangu akajibu akawa amechukua namba yangu...
imefika mida ya kuondoka akasema atanipa lifti, nikamwambia nipo na mshikaji na tuna usafiri, akawa ananipigia tunaongea sana akasema yeye ni kimada wa mbunge na amepangishiwa nyumba na amefunguliwa maduka ya nguo pamoja na usafiri 'ipsum''
aliponitajia tu huyo mbunge, mimi mwenyewe alarm ikawa imeshagonga kichwani.. alionyesha nia ya kunitaka lakini nikajiuliza maswali kibao nini atanipa huyu shangingi? nikaamua kumpotezea hata akipiga simu naanza kumpa shikamoo, mpaka yeye mwenyewe kapunguza spidi...
nilimpa mshikaji wangu mchapo naona anajipendekeza kwa kila hali na mambo yao yashaanza kua mazuri..
anyway nilitaka tu kutoa ushuhuda kidogo, mambo mengine zikiwemo tamaa za mwili ni za kuepukana nazo sana...
narudia tena, mkuu kama ulinisurika mara mbili, usije ukajaribu hata kwa kitoto cha under 18
na usirudie tena kwenye mitego kama hiyo leo hii utakiona kitoto cha miaka 20 ukadhani kipo -ve kumbe ndio kina wadudu wakali kuliko hata wale wa Yebora...
Sisi vijana wakiume hua tunapita katika majaribu mazito na tunahitaji neema ya Mungu ili kutuepusha na maafa haya, nakumbuka kama Wiki mbili zilizopita ilikuwa siku ya Jumapili, nilikuwa nipo kwenye Hotel Moja hapa Stone Town hua wanapiga muziki kila siku kuanzia mida ya saa 10 jioni mpaka saa4 usiku, mimi nilikuwa nimekaa kaunta napata kinywaji pamoja na Shisha yangu nipo na washikaji, pembeni yangu alikuwa amekaa mama mmoja anakunywa Whisky alikua ananiangalia kwa wizi wizi na mimi nikawa namwangalia hivyo hivyo baadae akasogea na kuanza kuniuliza hiyo unayovuta nini nikamwambia niShishaaina ya Kiburudisho tu sio kilevi kama Sigara au Tumbaku, akaomba kujaribu kuvuta nikampa baada ya hapo tukaanza piga story za kawaida akaomba simu yangu akajibu akawa amechukua namba yangu...
imefika mida ya kuondoka akasema atanipa lifti, nikamwambia nipo na mshikaji na tuna usafiri, akawa ananipigia tunaongea sana akasema yeye ni kimada wa mbunge na amepangishiwa nyumba na amefunguliwa maduka ya nguo pamoja na usafiri 'ipsum''
aliponitajia tu huyo mbunge, mimi mwenyewe alarm ikawa imeshagonga kichwani.. alionyesha nia ya kunitaka lakini nikajiuliza maswali kibao nini atanipa huyu shangingi? nikaamua kumpotezea hata akipiga simu naanza kumpa shikamoo, mpaka yeye mwenyewe kapunguza spidi...
nilimpa mshikaji wangu mchapo naona anajipendekeza kwa kila hali na mambo yao yashaanza kua mazuri..
anyway nilitaka tu kutoa ushuhuda kidogo, mambo mengine zikiwemo tamaa za mwili ni za kuepukana nazo sana...
narudia tena, mkuu kama ulinisurika mara mbili, usije ukajaribu hata kwa kitoto cha under 18