Sitasahau siku niliyonusurika kutolewa sadaka

Mbinu zao sio mkuu na Lengo lao kuonesha wamekamata mwanafunzi akiuza mtihani
Dah!!mkuu ningekuwa ni mimi,basi wangenikamata zamani sana..

Wangenipa advance,then baada ya kazi wamalize pesa.
 
Sawa
 
Kila napokumbuka lile tukio namchukia sana yule jamaa alikuwa anataka kumipotezea maisha hivi hivi
Dah!!mkuu ningekuwa ni mimi,basi wangenikamata zamani sana..

Wangenipa advance,then baada ya kazi wamalize pesa.
 


Duuuuh!siredi ofu ze dey
 
Mbona haueleweki.
Sasa wewe kumtungia mtu maswali ya economics inahusiana vipi na uvujishaji wa mitihani hapo shule?
Au wewe ndie mtunzi wa mitihani ya Necta ?
 
Haya maelezo ni dhaifu sana. Bado haya justify wewe kukamatwa
 
Sio jazba kuna watu akili Hakuna kabisa hivi umesoma post haina ukweli si unaacha tu kusoma unafuata vitu vya ukweli unacomment ili iweje na ukizingatia Hakuna sehem uliyolazimishwa kusoma na kucomment
Mbona unatoa mapovu badala ya kujibu hoja za wasomaji.
 
Watu mnamshambulia mtoa mada bure badala ya kuangalia content ya habari, binafsi nimepata points,usimwamini strange person, kuvunja sheria sehemu yoyote itakucost baadae Kama mtoa mada alivyosema aliogopa kuvunja Sheria pia ni muhimu kuwakataza watoto wenu kuongea na strange people
 
Hivi mtu akikupa kitabu, ukamtungie maswali ni sheria ipi ya nchi unakuwa umevunja?
Mbona mnapenda kujitengenezea hofu/ makosa ambayo hayapo.
kama point ni kutokumuamini mtu yupo sahihi japo scenario aliyoitumia sio sahihi.
 
Mbona haueleweki.
Sasa wewe kumtungia mtu maswali ya economics inahusiana vipi na uvujishaji wa mitihani hapo shule?
Au wewe ndie mtunzi wa mitihani ya Necta ?
Ngoja nkuambie kitu
Una kichwa kigumu sana na kuna mdau mmoja hapo juu amesema wengi wenu mna Psychology Mob na mwingine akachangia kuwa mnaboa.
Uwezo mdogo wa kufikiri hamsomi mkaelewa mnakurupuka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…