fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
- Thread starter
- #101
tatizo wengi ni wajuaji mnapokuwa nyuma ya keyboardHaya maelezo ni dhaifu sana. Bado haya justify wewe kukamatwa
Unasema hayajustify mimi kukamatwa nimeandika kuwa walishaweka mtego kule ili nikifika wanidake na kupelekwa kituoni mambo mengine baadae.
Na kingine fahamu kuwa kama ningethubutu kwenda huko nyuma ya mabweni ningekuwa pia nimevunja sheria za shule kwa kuwa hairuhusiwi kuwa huko muda ule;.
Halafu unaandika kirahisi rahisi tu