Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,060
- 4,845
Yaani kwamba uliloandika wewe ndio lingekuwa gaka kutoka shule yenu?Kipindi hicho wanafunzi wa kidato cha sita walikuwa wamebakisha wiki moja ili waanze mtihani wa taifa kwa ufupi jamaa alitaka niandike maswali as if ni Yale yatakayokuwa ktk mtihani wa taifa halafu anilipe laki mbili kwa mujibu wa yeye
Na endapo ningeandika wangetumia hiyo Kama ushahid shule ingefungiwa nami ningefungwa pia
Ahaa nimekusoma but punguza jazba mkuu wewe ni mtu mzima.