Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,919
- 20,144
Ukitoa mpesa Kuna issue nyingine ipi ya kumake hela maana wengine huwa hatuchagui kazi.Kafanye m-pesa wakati unajimix na watu kujua abc!
Wewe nakuonaga uko vzr kichwani...nenda kajichanganye na matajiri wanaonunua vifusi ..ujue wanafanyeje...ukirud mjini tafuta 10m uanze nunua vifusi vile vidogo dogo walau ujaze Tanki 5!ulinunua kifusi tuseme vifusi vi4 kwa watu tofauti unatumia 10m hukosi 5m as faida...!yaan Juana na wenye plant na mafekechee Kama hayo usiwe unakaa folen...!
Hiyo ya vifusi nadhan iwe mbeleni