Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

Natangaza kugombea ubunge jimbo la KARATU......
****Njia ya muongo...... *×*
Tangu lini ulikuwa ccm wakati hapo ulitangaza nia kuwa unatangaza kugombea ubunge karatu kupitia chadema...
Wanabodi amani iwe nanyi na poleni na majukumu ya kutafuta rizki....
Jimbo la Karatu ni jimbo lenye heka heka nyingi sanaa za kisiasa, ni kiini cha mabadiliko katika nchi hii, ni kati ya maeneo yenye historia kwenye medani za kisiasa,, jimbo hili limekuwa chini ya CHADEMA toka mwaka 1995 kipindi hicho mbunge wake akiwa Mh. DR.WILLBROAD PETER SLAA.... nimeamua kujitosa kugombea jimbo la Karatu kupitia chama changu CHADEMA,, sifa zote ninazo, ntafuata taratibu zote ndani ya chama changu ,,nitayasikiliza na kuyahishimu mawazo na maoni ya viongozi wangu wa chama,, umri wangu unaniruhusu,jimbo lile kwa sasa linahitaji kijana ambaye ataweza kuendana na pilika pilika za maendeleo ya haraka kwa jimbo lile,, barabara za mji na stendi ya magari ni changamoto kubwa sanaaa kwa mji wa karatu wenye vyanzo vingi sana vya mapato ikiwemo utalii ambapo Karatu ni center ya hifadhi za NGORONGORO na MANYARA,, mji una hotel nyingi sana kitalii,rasilimali za madini nk....
Maji bado ni changamoto kubwa sana wakati mji wa karatu umezungukwa na rasilimali nyingi sana misitu ambayo ni chanzo kizuri cha maji....

Ndugu zangu wanakaratu mnahitaji kijana atakayeweza kuendana na siasa za speed kubwa kwa maendeleo ya haraka sanaaa...... Kijana wenu kamanda HARIOHAY nahitimu chuo mwaka huu mwezi June,, nakuja kujitosa ili jamii yangu inufaike na elimu yangu na nguvu yangu...

Naomba mnipokee ili tupate maendeleo ya haraka sanaa,, Mimi ni mtoto wenu nimesomea shule yenu ya kata,, sasa naomba muonje matunda ya mtoto wenu ambaye ni zao la shule zenu za kata, nazijua changamoto zilizopo kwenu, maisha yenu nayajua vizuri,, familia yangu ni kimaskini sana, naamini nitawatumikia kwa upendo na unyenyekevu wa hali ya Juu.

Ahsanteni sanaaa Mungu awe kiongozi wetu daima....

Wenu,

Gjhariohay!
 
Wanabodi amani iwe nanyi na poleni na majukumu ya kutafuta rizki....
Jimbo la Karatu ni jimbo lenye heka heka nyingi sanaa za kisiasa, ni kiini cha mabadiliko katika nchi hii, ni kati ya maeneo yenye historia kwenye medani za kisiasa,, jimbo hili limekuwa chini ya CHADEMA toka mwaka 1995 kipindi hicho mbunge wake akiwa Mh. DR.WILLBROAD PETER SLAA.... nimeamua kujitosa kugombea jimbo la Karatu kupitia chama changu CHADEMA,, sifa zote ninazo, ntafuata taratibu zote ndani ya chama changu ,,nitayasikiliza na kuyahishimu mawazo na maoni ya viongozi wangu wa chama,, umri wangu unaniruhusu,jimbo lile kwa sasa linahitaji kijana ambaye ataweza kuendana na pilika pilika za maendeleo ya haraka kwa jimbo lile,, barabara za mji na stendi ya magari ni changamoto kubwa sanaaa kwa mji wa karatu wenye vyanzo vingi sana vya mapato ikiwemo utalii ambapo Karatu ni center ya hifadhi za NGORONGORO na MANYARA,, mji una hotel nyingi sana kitalii,rasilimali za madini nk....
Maji bado ni changamoto kubwa sana wakati mji wa karatu umezungukwa na rasilimali nyingi sana misitu ambayo ni chanzo kizuri cha maji....

Ndugu zangu wanakaratu mnahitaji kijana atakayeweza kuendana na siasa za speed kubwa kwa maendeleo ya haraka sanaaa...... Kijana wenu kamanda HARIOHAY nahitimu chuo mwaka huu mwezi June,, nakuja kujitosa ili jamii yangu inufaike na elimu yangu na nguvu yangu...

Naomba mnipokee ili tupate maendeleo ya haraka sanaa,, Mimi ni mtoto wenu nimesomea shule yenu ya kata,, sasa naomba muonje matunda ya mtoto wenu ambaye ni zao la shule zenu za kata, nazijua changamoto zilizopo kwenu, maisha yenu nayajua vizuri,, familia yangu ni kimaskini sana, naamini nitawatumikia kwa upendo na unyenyekevu wa hali ya Juu.

Ahsanteni sanaaa Mungu awe kiongozi wetu daima....

Wenu,

Gjhariohay!
Mkuu usitumie nguvu kubwa, btw ahsante sana kwa kutunza kumbukumbu hii. Ubarikiwe mno mpka hapo umeshanielewa sasa
 
Ahsante mkuu nimekuelewa
Haya sasa kareeeb Kiumeni Huku ndipo Wanaume Woote Wenye kujielewa

Na uzalendo wa taifa lao huja

Tupo pamoja katika vita hii ya kumtoa mkoloni kijani magogoni
 
Aliyeteuliwa amekubali? Huyu Mama ni mmoja wa wagombea urais waliokuwa na hoja nzuri mno na alikiwakilisha chama chake vema. Nasubiri kuona anaenda kuapa kuwa mkuu wa mkoa ili niendelee kushangaa nguvu ya tumbo
 
Aliyeteuliwa amekubali? Huyu Mama ni mmoja wa wagombea urais waliokuwa na hoja nzuri mno na alikiwakilisha chama chake vema. Nasubiri kuona anaenda kuapa kuwa mkuu wa mkoa ili niendelee kushangaa nguvu ya tumbo
Akubali marambili Boss Sisi binadamu

Niwabaya sanaa Tuna onyesha hudhuni na uzalendo mdomoni moyoni tunaangalia masilahi yetu
 
Hongera kwa kutua gunia la dhambi. Mwana CCM kwenda mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Wengine humu ni akina Tomaso leta tangible evidence nitaelewa otherwise nitaona porojo tu za mwana-CHADEMA anaye jaribu kujivika U-CCM basi
 
Wanabodi habari za jioni,Poleni sana na Majukumu

Awali ya yote naomba kudeclear interest, mimi ni CCM , Damu yangu ya kijani kibichi kabisa, mzalendo wa hali ya juu.

Najitokeza rasmi mbele yenu leo hii kuonesha hisia zangu kuhusu uteuzi wa Mh. Anna ambae ni Mwenyekiti na Chama cha upinzani.
Nimesikitika sana, nimenyong'onyea sana, nimejisikia vibaya mno.
Nimekuwa nikifanya vema kazi za chama changu cha CCM kwa ufanisi wa hali ya juu na uzalendo, nimekuwa nikipambana na kila anaejaribu kukashfu chama changu ama kiongozi wangu hasa Rais wetu Mtukufu , nimepambana pia muda mwingine kupindisha hata ukweli ili mradi tu chama kisipate kashfa yeyote. Nimefanya kazi hii kwenye mitandao yote ya kijamii, nimepambana vilivyo na mtu anaeitwa Mange Kimambi kwenye mtambo wa Instagram, hii yote ni kwa sababu ya kulinda chama ili chama nacho kinilinde.

Nimesikitika sana wazalendo wa chama tunaachwa, wanachukuliwa watu ambao hawajui machungu na mateso tuliyoyapata sisi wengine ambao muda mwingine tumepambana kupindisha ukweli ili walau tukumbukwe siku moja.
Nimejiuliza sana, huyu mama kipindi cha kampeni alinadi sera zake, sisi tulinadi pia sera zetu, leo hii anaenda kutekeleza ilani ya chama ipi?? Otherwise tunaomba viongozi wetu watuweke wazi kama hawa walikuwa mapacha wetu ama walikuwa sehemu ya mkakati wetu kudhoofisha wapinzani wetu kipindi hicho.
BTW,
Mimi ni mtu mwenye vyeti vyangu halali , sina waswasi wowote , nimeachwa , Mheshimiwa katika hili amenisikitisha sana, sasa naangalia utaratibu mwingine, vijana wenzangu wa upinzani nakuja mtaani naomba msinitenge, nimechoka kuitesa dhamira yangu.

Najiunga rasmi na nyie wazalendo wenzangu, naomba mnipokee .....

Wasalaam!!!!!!!
We unataka madaraka cyo?
 
Wanabodi habari za jioni,Poleni sana na Majukumu

Awali ya yote naomba kudeclear interest, mimi ni CCM , Damu yangu ya kijani kibichi kabisa, mzalendo wa hali ya juu.

Najitokeza rasmi mbele yenu leo hii kuonesha hisia zangu kuhusu uteuzi wa Mh. Anna ambae ni Mwenyekiti na Chama cha upinzani.
Nimesikitika sana, nimenyong'onyea sana, nimejisikia vibaya mno.
Nimekuwa nikifanya vema kazi za chama changu cha CCM kwa ufanisi wa hali ya juu na uzalendo, nimekuwa nikipambana na kila anaejaribu kukashfu chama changu ama kiongozi wangu hasa Rais wetu Mtukufu , nimepambana pia muda mwingine kupindisha hata ukweli ili mradi tu chama kisipate kashfa yeyote. Nimefanya kazi hii kwenye mitandao yote ya kijamii, nimepambana vilivyo na mtu anaeitwa Mange Kimambi kwenye mtambo wa Instagram, hii yote ni kwa sababu ya kulinda chama ili chama nacho kinilinde.

Nimesikitika sana wazalendo wa chama tunaachwa, wanachukuliwa watu ambao hawajui machungu na mateso tuliyoyapata sisi wengine ambao muda mwingine tumepambana kupindisha ukweli ili walau tukumbukwe siku moja.
Nimejiuliza sana, huyu mama kipindi cha kampeni alinadi sera zake, sisi tulinadi pia sera zetu, leo hii anaenda kutekeleza ilani ya chama ipi?? Otherwise tunaomba viongozi wetu watuweke wazi kama hawa walikuwa mapacha wetu ama walikuwa sehemu ya mkakati wetu kudhoofisha wapinzani wetu kipindi hicho.
BTW,
Mimi ni mtu mwenye vyeti vyangu halali , sina waswasi wowote , nimeachwa , Mheshimiwa katika hili amenisikitisha sana, sasa naangalia utaratibu mwingine, vijana wenzangu wa upinzani nakuja mtaani naomba msinitenge, nimechoka kuitesa dhamira yangu.

Najiunga rasmi na nyie wazalendo wenzangu, naomba mnipokee .....

Wasalaam!!!!!!!
Je wewe ni Lizaboni au ninakufananisha?
 
Pole sana sisi na akina Lizaboni, Le mutuz na Pasco wa JF tumekubali yaishe tumebaki kushikilia mapembe tu maisha yanakwenda, chama kina wenyewe ndugu yangu.
Hivi Lowasa, Sumaye, Masha and co waote wale ni wapigania chadema?
 
Ungeandika jina lako tukufahamu wewe ni nani. Unafikiri kuwa na vyeti ndio kila kitu?

Mbona humu sijawahi kukunoti kabla ya leo? Inakuwaje unamuonea wivu RC mpya badala ya nyie wanawake wenye kadi za CCM kukaa chini na kywnza kufikiria mnajiongezaje?

Pia unaonesha wengi mlipewa vyeo zamani kwa sababu ya mambo mengi na yale ya uroda uroda, sasa kaja Kiongozi jembe anawaongiza hamna cha kumuonyesha ni aibu tu.

Yeye anawajua na kuwaangalia, sada mbadilike haswaaaaa.

Kuandika hayo maneno kwa kutoandika jina lako ni kwamba, haujiamini na pia wewe kusema ulipindisha uongo sijui nini kuonekanaje...umetia aibu kuongelea hivyo juu ya chama chako. Haufai kabisa kwa roho hiyo ya tamaa na kukata tamaa sababu ya mtu kuteuliwa.

Kajiongezeni
 
Back
Top Bottom