Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

Tokea lini umekuwa CCM wewe?

Angalia utaliwa ndogo kwa akili hizo.
Mkuu mbona tulikuwa wote kwenye mapambano au umeamua kujitoa ufahamu maksudi??? mimi kwa sasa sio mwenzako
 
Huyo Mama sasa atatkiwa kuhakikisha wapinzani hawafanyi mikutano ya kisiasa,hawaruhusiwi kuaga maiti,hawashindi uchaguzi kwa njia yoyote ile na kwa moshi akitaka apate sifa apavurugevuruge tu kama Arusha ili afikie rank ya kina bashite na gambo
Ushauri murua kabisaaaa
 
Sidhani kama mtukufu huwa anafanya maamuzi kwa kutegemea mawazo ya watu kama nyie. Vipi mnataka ashauliwe wakati washauri wenyewe ni vilaza.?
Sasa mkuu kwani yeye si ndio tupo nae kwenye vikao? kwa nini akubali kupewa ushauri wa kumchukua Mama wa jirani?
 
Ulimaanisha ku-"declare interest " au declear interest! ?! Bora hata amekuacha maana yale yale
Mkuu hayo ni makosa madogo madogo ya kurekebisha, nashukuru we ulielewa nilichomaanisha, btw ningekuwa na secretary , kam asie na cheti anaandikiwa why not me?
 
Kwanza Mkuu tengua kauli ya kumuita Magufuli Mtukufu

Mtukufu Ni mungu pekee
Mkuu me umenielewa, Hiyo ni kauli sahihi kwa mtu mwenye maamuzi yeyote juu ya wengine bila kuingiliwa ama kuulizwa
 
Back
Top Bottom