Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,997
- 32,435
Mnafungua lini shule?Makontena mengi kila mmoja anajua yalivyopotea.
Akawapa siku saba wahujumu,wachache wakalipa 10bl ndani ya cku tatu.
Leo kawasamehe!! Kweli!
Nimeumia sana.kodi zetu na mali zetu.yeye alisema hatacheka nao na wala hawakumdhamini kwenye kampeni sasa anatoa msamaha! This may be more than comedy.
Kweli mfumo ndo kila kitu si mtu mmoja.