Prof. Tibaijuka alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa UN Habitat aliipenda Tanzania na kuipa misaada pale ilipobidi.
Nakumbuka mwaka 2010 kulikuwa na Mkutano Mkuu wa UN Habitat kule Vancouver Canada na mimi ni mojawapo niliyepewa upendeleo wa kuhudhuria mkutano huo mkuu wa ulimwengu.
Hata Mhe. Rais Magufuli tulikuwa naye kwenye mkutano huo kama Waziri wa Ardhi na Makazi. Mhe. Magufuli alikuwa Mwenyekiti kwenye mada fulani fulani ambapo na mimi nilikuwepo.
Prof. Tibaijuka binafsi sitakusahau maishani kwa kuniwezesha kuhudhuria mkutano huo mkubwa kule Canada.
Mhe. Rais ninakuomba umfikirie huyu Prof. kwa wadhifa wowote ule utakaomfaa. Watanzania tulioenda Canada alitutendea mema sana.
Nakumbuka mwaka 2010 kulikuwa na Mkutano Mkuu wa UN Habitat kule Vancouver Canada na mimi ni mojawapo niliyepewa upendeleo wa kuhudhuria mkutano huo mkuu wa ulimwengu.
Hata Mhe. Rais Magufuli tulikuwa naye kwenye mkutano huo kama Waziri wa Ardhi na Makazi. Mhe. Magufuli alikuwa Mwenyekiti kwenye mada fulani fulani ambapo na mimi nilikuwepo.
Prof. Tibaijuka binafsi sitakusahau maishani kwa kuniwezesha kuhudhuria mkutano huo mkubwa kule Canada.
Mhe. Rais ninakuomba umfikirie huyu Prof. kwa wadhifa wowote ule utakaomfaa. Watanzania tulioenda Canada alitutendea mema sana.