Sitamchagua tena Magufuli 2020,

mliverpool

JF-Expert Member
Jan 6, 2015
1,564
2,942
Sitamchagua tena Magufuli japokuwa nilimchagua 2015,sababu
1-ameleta uoga makazini kwa kusimamisha watu na kufukuza watu kazi hovyo pasipo kufuata utaratibu
2-ameshindwa kuongeza mshahara kwa watumishi licha ya kuwa ni takwa kisheria.
3- ameshindwa kuajiri sambamba na kuzalisha ajira nyingine Nje ya serikali na kuleta maafa kwa familia masikini
4-amesababisha kushuka kwa mauzo kwa wafanyabiashara baada kuintroduce sera mbovu za uchumi zilizoleta maafa kwa watanzania,(ikiwemo kuhifadhi fedha za uma BOT)
5- Ameshindwa kuchochea uchumi kwa kuwalipa wakandarasi wa ndani matokeo yake makampuni na biashara nyingi zimefeli na kufa.
6- ameshindwa kuwa na kauli za kutia moyo kwa wananchi wake wanapopata matatizo ,badala yake amegeuka kuwasimanga.
7-serikali yake imeshiriki kuvunja nyumba za walalahoi masikini maeneo mengi pasipo kwanza kuandaa mpango mbagala( jangwani)
8-ameshindwa kabisa kuheshimu katiba na kuchekelea wateule wake wakivunja katiba.
9-ameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wengi wa masikini utofauti na watsngulizi wake.
 
e9f7d18609be5b3c391dd0489f67a75c.jpg
 
Sitamchagua tena Magufuli japokuwa nilimchagua 2015,sababu
1-ameleta uoga makazini kwa kusimamisha watu na kufukuza watu kazi hovyo pasipo kufuata utaratibu
2-ameshindwa kuongeza mshahara kwa watumishi licha ya kuwa ni takwa kisheria.
3- ameshindwa kuajiri sambamba na kuzalisha ajira nyingine Nje ya serikali na kuleta maafa kwa familia masikini
4-amesababisha kushuka kwa mauzo kwa wafanyabiashara baada kuintroduce sera mbovu za uchumi zilizoleta maafa kwa watanzania,(ikiwemo kuhifadhi fedha za uma BOT)
5- Ameshindwa kuchochea uchumi kwa kuwalipa wakandarasi wa ndani matokeo yake makampuni na biashara nyingi zimefeli na kufa.
6- ameshindwa kuwa na kauli za kutia moyo kwa wananchi wake wanapopata matatizo ,badala yake amegeuka kuwasimanga.
7-serikali yake imeshiriki kuvunja nyumba za walalahoi masikini maeneo mengi pasipo kwanza kuandaa mpango mbagala( jangwani)
8-ameshindwa kabisa kuheshimu katiba na kuchekelea wateule wake wakivunja katiba.
9-ameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wengi wa masikini utofauti na watsngulizi wake.
Kwani uliambiwa JF ndiyo anapochaguliwaga Rais, I wish I could be JF Director!
 
ha ha! wkt we unawaza kutompigia wengine wanawaza kumpigia! lengo lako hasa ni kutompigia kura je, unaemtaka atatufaa..?
 
Huyo choko wazazi wangu walimpigia kwa sasa wanalia vibaya kwamba huyu mtu hafai kabisa. Mzee huyu anaroho mbaya sana hana breki kwenye kuongea.
 
Nasubiri kwa hamu 2020 nishuhudie ongezeko la kura za magu rais kipenzi chetu wenyewe.
 
Sitamchagua tena Magufuli japokuwa nilimchagua 2015,sababu
1-ameleta uoga makazini kwa kusimamisha watu na kufukuza watu kazi hovyo pasipo kufuata utaratibu
2-ameshindwa kuongeza mshahara kwa watumishi licha ya kuwa ni takwa kisheria.
3- ameshindwa kuajiri sambamba na kuzalisha ajira nyingine Nje ya serikali na kuleta maafa kwa familia masikini
4-amesababisha kushuka kwa mauzo kwa wafanyabiashara baada kuintroduce sera mbovu za uchumi zilizoleta maafa kwa watanzania,(ikiwemo kuhifadhi fedha za uma BOT)
5- Ameshindwa kuchochea uchumi kwa kuwalipa wakandarasi wa ndani matokeo yake makampuni na biashara nyingi zimefeli na kufa.
6- ameshindwa kuwa na kauli za kutia moyo kwa wananchi wake wanapopata matatizo ,badala yake amegeuka kuwasimanga.
7-serikali yake imeshiriki kuvunja nyumba za walalahoi masikini maeneo mengi pasipo kwanza kuandaa mpango mbagala( jangwani)
8-ameshindwa kabisa kuheshimu katiba na kuchekelea wateule wake wakivunja katiba.
9-ameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wengi wa masikini utofauti na watsngulizi wake.


Mkuu pole sana ndoto zako zilikuwa nzr lakini ni bahati mbaya umesahau kumshirikisha mwenyezi Mungu, umeongea kwa kujiamini as if una uakika wa kuwepo 2020. Mungu akusamehe naamini unaweza usiwepo tumuachie Mungu. Sijui kama hautakuwepo itakuwaje.
 
Back
Top Bottom