Alafu maajabu ya Mungu uzao wako ukute ni watoto wa kike tu na watakuwa msaada na neema sana maishani mwenu,kwani watoto wa ngapi wa kiume wanafanya mambo ya ajabu.Omba Mungu akupe watoto kama kina isaka,daniel,esta,watoto wenye baraka na si machukizo mbele ya Mungu wazazi na jamii nzima.