Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
SItaki kusikia CUF wawaaambiwa wananchi wa mwanza ni maskini na kuwashangaa...wakati Lipumba aliwahi kuwa mshauri wa rais mambo ya uchumi hapa awali.
Sitaki kusikia lipumba akitumia lugha ya kiuchumi kwenye mikutano yake ya kisiasa..kwa wananchi ambao hawajui uchumi nini.
Sitaki kusikia lipumba akitumia lugha ya kiuchumi kwenye mikutano yake ya kisiasa..kwa wananchi ambao hawajui uchumi nini.
Last edited: