Sitaki wanaume wenye pesa

Hebu tucheke wote, tuambie dada alikua analalamika nini
 
Pole kwa maswahibu ila na nyinyi wanawake jaribuni kujirekebisha muwe na hafu ya mungu. Kuliko kua na hofu ya kuomba pexa.
 
Naona hukusikiliza wosia wa King Majuto.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Eti Jero, jaman msione Watu Wana magari..Kuna muda mtu anakosa hela.ya mafuta...sembuse ya Kuhonga.
LOOOH salale
Mimi nimepaki siku ya nne hii
Nikitaka kutoka nafungua mlango wa nyumbani kwangu afu naipita Kama sioni nafungua Geti Dogo huyoooo naishia naanza kupiga miruzi kusimamisha boda boda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teyari kesha tendwa pole sana! Njoo tu kwangu mm masikini wa uchumi wa kati!
 
Hamna uhusiano kati ya kutokuwa na hela na kutokuwa na ukatili ,umalaya, utesaji wa wanawake and all that.

Sasa we jimix at your own risk.
 
Mimi nimepaki siku ya nne hii
Nikitaka kutoka nafungua mlango wa nyumbani kwangu afu naipita Kama sioni nafungua Geti Dogo huyoooo naishia naanza kupiga miruzi kusimamisha boda boda

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...yanatokea
Ila usihonge jero jamani ...khaaa
 
Hamna uhusiano kati ya kutokuwa na hela na kutokuwa na ukatili ,umalaya, utesaji wa wanawake and all that.

Sasa we jimix at your own risk.
Anadhani kuwa na hela automatically..mtu ANAkuwa na Tabia zoote mbaya..alafu wasio na hela wanatabia nzuri..
Poor soul.
 
Hahahah hao ndio malejendari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…