Sitaki tena sitaki...

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
452
Leo nimeambiwa eti mie naiga kupenda(Mapenzi yangu eti ya Kichina), hivi kuna wanaoiga kupenda Jamani? Kuna mapenzi ya Kichina siku hizi?...Sasa nataka kuacha kupenda, Je, nifanyaje sasa kwa wife wangu?Nisipopenda ndo nimchukie au tuonane kama tupo tupo tuuuuuuuuuu?
 
Huwezi kuacha kupenda mzee..! ye mapenzi ya kichina kayajulia wapi? ah hiyo feki
 
Huwezi kuacha kupenda mzee..! ye mapenzi ya kichina kayajulia wapi? ah hiyo feki


Mapenzi fake si ndo ya KICHINA hayo mkuu au wewe unafikiria nini? Wewe ukiambiwa na mkeo una mapenzi fake utafanyaje sasa?
 
Mapenzi fake si ndo ya KICHINA hayo mkuu au wewe unafikiria nini? Wewe ukiambiwa na mkeo una mapenzi fake utafanyaje sasa?

hiyo fake niliyomalizia nilimaanisha mpango mzima maneno uliyoambiwa...au anamaanisha huna mapenzi ya dhati
 
hiyo fake niliyomalizia nilimaanisha mpango mzima maneno uliyoambiwa...au anamaanisha huna mapenzi ya dhati


hewala mkuu mie nilidhani anamaanisha hivyo lkn mbona mie nampenda kinoma tuuu?au anataka mambo ya maua maana mie sijawahi kununua ua na kumpa....
 
Sijamfanya lolote, mie sijui tuu imekuwaje halafu alisema hilo neno katimua zake....nasubiri akirudi ndo labda ataniambia maana ya kusema hivyo ni nini...

Duh!Kweli ndoa ndoana!Yani mtu anakupa madongo hayo alafu anachapa mwendo?Pole!
 
hahahahahah lol kwa kweli unanichekeshaga sana na thread zako...
wewe mmmhhh ngoja niwaze ntakujibu...
 
hahahahahah lol kwa kweli unanichekeshaga sana na thread zako...
wewe mmmhhh ngoja niwaze ntakujibu...


Mama leo cha moto nimekiona, ni ule wakati wa asubuhi eti na mimi nataka kumwaga BUSU la asubuhi njema, kikatolewa kicheko cha UTAJIJU, halafi maneno yakaja, eti linajifanya linajua kupenda, MAPENZI YAKO YA KICHINA BABUUUU.......
 
Duh!Kweli ndoa ndoana!Yani mtu anakupa madongo hayo alafu anachapa mwendo?Pole!



Halafu alisema eti hii 2011 babuuu hakuna mapenzi ya kichina, mmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhh siku hizi jamani ukikosea tu utasikia MCHINA...naugulia tuuu ndugu yangu...
 
Mama leo cha moto nimekiona, ni ule wakati wa asubuhi eti na mimi nataka kumwaga BUSU la asubuhi njema, kikatolewa kicheko cha UTAJIJU, halafi maneno yakaja, eti linajifanya linajua kupenda, MAPENZI YAKO YA KICHINA BABUUUU.......

hahahahahaah lol kabla sijakupa ushauri
nataka kujua tu jana jioni uliangalia nini kwenye TV lol
 
hahahahahaah lol kabla sijakupa ushauri
nataka kujua tu jana jioni uliangalia nini kwenye TV lol


Ujue nilimpaga maua artificial siku ya mwaka mpya na xmass, akanusa harufu yake kumbe yamekaa kwa vumbi akakohoa ile mbaya, akasema ya KICHINA mie siyapendi?
 
Ujue nilimpaga maua artificial siku ya mwaka mpya na xmass, akanusa harufu yake kumbe yamekaa kwa vumbi akakohoa ile mbaya, akasema ya KICHINA mie siyapendi?

mmmmmhhhh kwakweli unavituko sana tena sana lol..
mmhh nadhani anasema unamapenzi ya KICHINA ..
kwa sababu labda vitu unavyofanya kwake vinaoneka vya bandia....
 
mmmmmhhhh kwakweli unavituko sana tena sana lol..
mmhh nadhani anasema unamapenzi ya KICHINA ..
kwa sababu labda vitu unavyofanya kwake vinaoneka vya bandia....


Heeeeeeeeeeee unajua ile siku ya 2011 ilipoanza nilikuwa kwenye mechi sasa ghafla nikastop na kuanza kushangilia mwaka mpya, huenda na hilo pia eti eeeehhhh?
 
hahahahhaahahah lol
unajua mie nashindwa hata kukusaidia kwa sababu ya vichekesho vyako lol



Afrodenzi toa msaada ujue kuambiwa na mapenzi ya kichina kimeniuma sana mimi, au kuna mapenzi gani nimpe jamani? Maana neno likiwa na ......china...mie silipendi sasa hivi...
 
Back
Top Bottom