Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Leo nimeambiwa eti mie naiga kupenda(Mapenzi yangu eti ya Kichina), hivi kuna wanaoiga kupenda Jamani? Kuna mapenzi ya Kichina siku hizi?...Sasa nataka kuacha kupenda, Je, nifanyaje sasa kwa wife wangu?Nisipopenda ndo nimchukie au tuonane kama tupo tupo tuuuuuuuuuu?