XaviMessIniesta
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 2,065
- 2,511
Hahaah alipga yowe nyomi ikajaaaUamuzi wangu hautabadilika, unajua nilikuwa nasikia tu kuwa huwa niwasumbufu, nikawa nalilia sana hio nafasi niipate ili kujenga heshima ya mwanaume, muomba Mungu hachoki hadi apate hatimae nikampata, ni kama last month ivi, nimetumia lugha zote za kimahaba kiukweli aligea sana kwenye maongezi akaonekana muitaji mkubwa.
Nikasema chelewa chelewa..... Nikafanya maamuzi ya kumuita Jp moja ya kwanza siku hio niliitumia kumlainisha tu yani kumfanyia kila kitu kwa maandalizi hadi akawa anaomba mwenyewe chaajabu nikijaribu naambulia meno na matusi juu, nikiacha analilia kabsa nimpe lakni mtihani ni pale ukianza utapokea mpaka matusi mapya.
Jana ilikuwa mara ya pili niliamua liwalo na liwe alie asilie mimi nataka heshima nikaifosi, kilichoendelea saa hii sijarudi gheto nasubiri watu wapungue.