Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
hili nalo used sana bana...yaaani kila siku makeke ya kugombana na wanaume...aggghhh..bora lingekuwa liuza gongo tu
hahahahahahaha
hili nalo used sana bana...yaaani kila siku makeke ya kugombana na wanaume...aggghhh..bora lingekuwa liuza gongo tu
Vipi jaluo nyeupe mchukue wema. Wewe mwenyewe sharobaro. Ingima lakini? Wach mandalo?
Mtoto mnzuri yulee,sema kila akikabizi moyo kwa mtu,ndo hivyo tena wanamtafuna na kumpiga chini,Mx
yamekua hayo tena! Na ile mimba iliishia wapi?
Anakumbuka shuka saa nane
NI kweli mkuu,but makaburi NI makaburi tuAchana na makaburi mkuu.