Sitaki tena kuendelea kuwa Mtanzania.

Sitaki tena kuendelea kuwa Mtanzania.

Luhangija

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
32
Reaction score
6
Wewe kama mfugaji,kuku wako wakipiga kelele usiku kuna jambo,lazima utoke nje uone kuna nini. Kelele za muungano ni dhahiri watz tumechoka na kitu hiki,bora tuwe na serikali tatu ikiwemo serikali yangu ya TANGANYIKA.

Sijawahi kuwa mtanganyika tangu nizaliwe wakati naishi TANGANYIKA,Mbona USA wanaishi na federal government?

Nahitaji tanganyika yangu! Mwenye busara tuungane kudai nchi yetu.
 
Kama hutaki rudi Vijijini ndani kabisa, kule bado Tanganyika
 
Kama hutaki rudi Vijijini ndani kabisa, kule bado Tanganyika

Avatar yako tu, ndo mpango mzima japo username ni ya kiume.

Sorry kumbe nimetoka kwenye mada.

Sure vijijini bado wanajua Rais ni Nyerere
 
Huu ni msimamo wa" zidumu fikira sahihi za mwenyekiti". Yeyey allisha fanywa mungu mtu kwa hiyo hakuna atakaye badili lile alilolisema na kuachia chama.

Umeona kiingereza hakirudishi mashuleni, Tanganyika haifufuki wala ujamaa kufutwa katika KATIBA mpya.
 
mkuu mtikila anagawa uraia wa Tanganyika nafikiri umtafute
 
Back
Top Bottom