Natumai hamjambo wakuu.
Kwenu wadada, ukishajua mwanaume unamtaka akikutongoza usilete mambo ya sitaki nataka coz sie wengine hatujuagi kutongoza kwa kubembeleza.
Wiki ilopita nilimtongoza mrembo fulani ambae ni rafikie dada mmoja tunaefahamiana, alinambia haiwezekani nami nikampotezea sikumtafuta tena.
Sasa jana nimekutana na huyo dada ninaefahamiana nae akaniuliza, mbona fulani analalamika umemchunia? nikamwambia alisema haiwezekani nikaona isiwe tabu, akanambia hapana alisema hivo ili usimuone mrahisi, nikamwambia basi ntamtafuta.
Wenye tabia hii nadhani ujumbe umefika.
Kwenu wadada, ukishajua mwanaume unamtaka akikutongoza usilete mambo ya sitaki nataka coz sie wengine hatujuagi kutongoza kwa kubembeleza.
Wiki ilopita nilimtongoza mrembo fulani ambae ni rafikie dada mmoja tunaefahamiana, alinambia haiwezekani nami nikampotezea sikumtafuta tena.
Sasa jana nimekutana na huyo dada ninaefahamiana nae akaniuliza, mbona fulani analalamika umemchunia? nikamwambia alisema haiwezekani nikaona isiwe tabu, akanambia hapana alisema hivo ili usimuone mrahisi, nikamwambia basi ntamtafuta.
Wenye tabia hii nadhani ujumbe umefika.