Lizy, nimeogopeshwa na huruma na moyo wa kujitolea wa Nyani... halafu nahofia kama nitaweza kumudu utawala wa manyani wa kudandia miti wapendavyo... hakuna mipaka kule na ukimwi huu nitapona kweli?
Annina
Huyu Nyani wa Kisasa, utamfungia ndani dear. Mpe nafasi. Ninamfahamu ni mtu poa sana u will never regret kuwa naye zaidi utasikitika kwa nn hukumfahamu mapema