Sitaki kuolewa

ulikuwa unasubir braVuka wapigwe 7-1 ndo ijitokeze?
mfyuuuuuuu
nimekumithi mpk nimekununia!

Nilikuwa napita kibubububu. Ungejua nasubiri Mangi atupe jongoo na mti wake halafu niite maliasili wanisaidie kuutafuta!!!
Nasikia mengi yamepita hapa.......kwamba hata Wangoni siku hzi mmeendelea mpaka mnapiga picha za 'utamu'

Source: Komba wa CRDB
 
ulikuwa unasubir braVuka wapigwe 7-1 ndo ijitokeze?
mfyuuuuuuu
nimekumithi mpk nimekununia!

ha ha ha ha ha ha.........

leo mji upo kimyaaaaa ,,,,,,,, naona wazee wa 7 o'clock bado wanasikilizia kristapeni.
 

Hivi wewe unalinganisha kutokuwa na kazi na kutokuwa na ndoa? U can't b siriaz..... Alafu...hivi mtu asipokuwa na ndoa anaathiri vipi wanajamii wengine au niseme wanabanwa nini?
 

umeeleza upande mmoja, sijaona ukitaja sifa unazohitaji ili uolewe, nadhani pia ungechambua ni mazingira yepi mwanamke akubali kuolewa basi.
 
Khantwe, mbona nimeheshimu Sana tu. Huoni wadada wasio na mwelekeo wa kuolewa wanajipa matumaini kupitia bango la Rapunzel...

Mimi hata hili bango lisingewekwa I would remain the same..... Huu utaratibu wa kupangiana maisha watanzania sijui wanautoa wapi
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kujitambua maana ndoa sometimes ni mtihani ..wala usikimbilie kabisa ,
 
marriage is beautiful but only when you are in love and ready for it. some day you are gonna wish it happened sooner.
 
Khantwe, mbona nimeheshimu Sana tu. Huoni wadada wasio na mwelekeo wa kuolewa wanajipa matumaini kupitia bango la Rapunzel...

Ni kwelii kabisaa watu wanalilia ndoa wanashinda kwa wagangaa,ukweli hayupo ambae hapendi kuolewaaa yaa hayupo huaga wanajifariji tuuuu
 
Last edited by a moderator:
Ni kwelii kabisaa watu wanalilia ndoa wanashinda kwa wagangaa,ukweli hayupo ambae hapendi kuolewaaa yaa hayupo huaga wanajifariji tuuuu

Penye ukweli lazima tuseme tu, hatuwezi kupingana na asili, that's nature, mtu atake asitake wengi wa wadada wanafanya kila wawezalo kufikia ndoa. Hayo mengine ni blaa blaa tu. Huyo Rapunzel anaongea tu coz labda hajampata anayeendana na vigezo (ATM).
 
Last edited by a moderator:
Mimi hata hili bango lisingewekwa I would remain the same..... Huu utaratibu wa kupangiana maisha watanzania sijui wanautoa wapi

Sio kupangiana maisha Khantwe, it's mother nature calling...
 
Last edited by a moderator:
Ni kwelii kabisaa watu wanalilia ndoa wanashinda kwa wagangaa,ukweli hayupo ambae hapendi kuolewaaa yaa hayupo huaga wanajifariji tuuuu
Dinazarde usikariri my dia.....shukuru Mungu kwa vile ulimpata mwanaume wa ndoto zako....ndoa ni nzuri but only and only if ukimpata yule mbayependana kwa dhati.
 
Last edited by a moderator:
Sio kupangiana maisha Khantwe, it's mother nature calling...

Sawa its nature calling...bas hiyo nature niione mimi mwenyewe sio kuoneshwa nini cha kufanya.
 
Last edited by a moderator:
Dinazarde usikariri my dia.....shukuru Mungu kwa vile ulimpata mwanaume wa ndoto zako....ndoa ni nzuri but only and only if ukimpata yule mbayependana kwa dhati.

Ni kweliii lakini hayupo ambae hapend kuolewaaa
 
Last edited by a moderator:
nimekuuliza tu kimtego

umebwabwaja utafikiri umewekewa morta khaaaaa
 
Wewawapi unafuata nyayo za bibiyako be kidude?teh teh kikongwe hichooo !huoni Aibu mtaani wataanza kukuita mjane kumbe hata hujaolewa.anyway tumika tu shost ukichakaa ndo utaona umuhim wa mume.
 
utasubiri sana kama una attitude ya hivyo na hata ukimpata lazima ije ikutokee puani kwani unaolewa na mtu au pesa zake?kwa taarifa yako wengi walioolewa na wenye pesa wanaishiaga tu kuyaona na kuyahesabu magari hata kuyagusa tu hawayagusi speaking out of expirience,kama ni pesa si uzitafute tu hata wewe?
7.Sitaki kuolewa na mtu ambaye hana pesa aka mlalahoi.
 
Umenikunaaa!! heri wewe umeulizwa na shangazi mie kuna mtu kanifata kabisaa eti ananishauri umri unaenda mbona siolewi nilimtoa baruu kama paka mwizi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…