Sitaki kuolewa

 
ulikuwa unamtaka au :cool2::cool2::cool2: ??

cc: Vin Diesel
Lisemwalo lipo!

Sioni kama kuna tatizo kuulizwa eti unaolewa lini, kumbuka na wewe ungeweza kuwatumia kiusahihi kwa huo muda waliokuuliza hilo swali...

Ina maana huna malengo yoyote/huna mchumba mpaka dakika hii?
 
Last edited by a moderator:
Its good to have no one to blame in the future!
Wamekamilisha wajibu wao on the other side of caring!
 
we dogo usiombe!
nahitaji heading tu mengine ntajaziamo!
jana nilijikuta tu siwezi kufungua huu uzi!
ndo najiuliza waliniwuwa au nilijiwuwa?
Heaven on Earth najua huwezi kuacha niteseke
ukujeeeee

hahaha mbavu zangu.
naona walikuwuwa Jana.
naanzaje kukuwacha uteseke
nimechelewaa kuona mention tu
 
Last edited by a moderator:
Umewasaidia na kuwapa confidence ma single ladies wote ambao umri umeenda na hamna kinachoeleweka... Yaweza kuwa njia moja ya kuondoa stress...
...kudos to all single ladies!!
 
Umewasaidia na kuwapa confidence ma single ladies wote ambao umri umeenda na hamna kinachoeleweka... Yaweza kuwa njia moja ya kuondoa stress...
...kudos to all single ladies!!

Aaah Eli79...this is so rude u know..kwa nini usiheshimu mitazamo ya watu wengine?
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine Wanawake wnanishangaza. Kwamba hawawezi kuolewa kwa sasa sababu kuna changamoto nyingi kwenye ndoa, kana kwamba huko baadae zitakwisha!!
 
Wakati mwingine Wanawake wnanishangaza. Kwamba hawawezi kuolewa kwa sasa sababu kuna changamoto nyingi kwenye ndoa, kana kwamba huko baadae zitakwisha!!
ulikuwa unasubir braVuka wapigwe 7-1 ndo ijitokeze?
mfyuuuuuuu
nimekumithi mpk nimekununia!
 
Nani akuoe na uzee huo!!! Hutaki kuolewa kwa kuwa hakuna anayetaka kukuoa
 
Khaaa da ulikuwa zam?

e.henhenhenhe mwenzako hii sredi kila nikiiona title kidole gumbsa kinakata kiuno kuifata!
hahhahh si unajua humu ndo ndoto za zawadi zilipoyeyukia
siiiiiiina hamu na amu mimi!
 
Last edited by a moderator:
e.henhenhenhe mwenzako hii sredi kila nikiiona title kidole gumbsa kinakata kiuno kuifata!
hahhahh si unajua humu ndo ndoto za zawadi zilipoyeyukia
siiiiiiina hamu na amu mimi!

Haaahhhhhaaaa maninaaa ulikua unataka zawadii tu huna loloteeee
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…