Sitaki kabisa mume mlevi

Maisha sio ya kukariri, unaweza ukapata mume mlevi na akawa mwema kwako, na unaweza ukapata mume si mlevi ila akakusugua roho kisawasawa.

Rule 1 Ya Wanaume: Lazima mwanaume awe na starehe fulani kupunguza stress kichwani za maisha,

1) Either anywe pombe, kama hanywi basi namba mbili inahusika.

2) Awe kicheche wa wanawake kupita kiasi. Asipo kua kicheche, namba tatu inahusika.

3) Awe anakula Ganja au starehe nyingine ya kukipa kichwa ganzi. Asipokua mvutaji wa ganja, namba nne inahusika.

4) Awe mnafiki au mbea kama demu. Hua ni vieherehere, wajuaji, kazi kufatilia mambo ya watu na kusema watu, kuhamisha hamisha maneno toka huku kwenda kule.

Halafu namba 4 ni wanawivu balaa, mke akijipindua tu kashika simu anapekua sms na call dials. Hua wanajua mpaka mashoga zake mke wake wote, kuanzia wa saloon mpaka ofisini.

NB: Chagua unaehisi anakufaa kati ya hao juu.
 

hapa nimecheeka sanasana!duh shikamoo utafiti
 
Na sisi tunaokunywa Ijumaa tu glass moja.

Michezo tunacheza ila hatufuatilii. Sijui hata first eleven ya Chelsea... Ila nacheza michezo ya mipira.

-Sio mtu wa wanawake.

unaniweka kundi gani?
 


sijui haya mambo why yapo hvyo!kuna libaba jalimu la secondary..halipigi vyombo !jaman baba mbea yule!had mkewe amejichokea!yaan kashfa yeye kujikweza yy !yaan ananikera ukizingatia mkewe shogangu!kama mwanamke!sasa akukute hotel unakula atakaa haagizi kitu had aone wewe upo na nan na unaondokaje😵😵😵😵
 
Wapo ambao hawana hizo tabia hata moja kati ya hizo hapo juu.

Bora mwanaume awe mnywaji ila sio mlevi.
 
Nipe mimi ofa, ntashukuru kwa kweli, ila kwa kukusahihisha tu mkuu wanaume wa dar hawasifiki kwa pombe, wenye sifa hiyo wanajulikana, mf kilimanjaro, moshi, ila sio dar mkuu
 
Kwani hizo tambia mbaya lazima awe nazo?
 
Acheni ulevi bna.miaka hii kweli unalewa tilalila hujui hata home umefikaje?
Yesu alifanyaje kwenye ile harusi ya kana, alileta mvinyo ulio bora hadi wakuu wakashangaa huu ugimbi baabkubwa nani kaugema, so kunywa kilicho bora mkuu, kunywa maana ni sahihi na ni haki yako.
 

Haya mambo mbona siyaoni mimi...
 
Kweli kabisa mkuu, kila mwanaume ana starehe yake, ila ni bora sana mumeo akanywa kapombe maana kuna starehe zingine utakuja kuzijua zikakukwaza
 
Hiyo namba NNE hata maofisini wapo, yaani hatari tupu. Wewe utashangaa boc anaanza kukuwekea vikwazo kama Iran wanavyowekewa vikwazo na marekani. Ukiona Hivyo ujue MTU ameshalishwa maneno.
 
Aisee..embu nichukulie faru john na kmoto kg 1 na ndizi 2. Naamini nikimaliza UTANISAVE badala ya kudelete.
 
The problem was not to understand, but usage/intention of that words. As it came to my attention how can be used at per!!!!!!
You will do something very important to me if u'll create a connection to that guy for me to learn those vocabulary of yours.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…