Sitaki dawa

Sitaki dawa

Okay, uwezo wa kujibu maswali yako yote kwa ufasaha sina. Ngoja nikatafute case mojawapo niifuatilie kwa karibu halafu tutarudi kujadili panapo majaaliwa.

Safi sana kwa uamuzi unaotaka kuchukua.Huu ndio uamuzi ambao utakaokutoa katika fikra za zamani ambazo zime base kwenye habari za kuambiwa pasipo kuona mwenyewe.Watu wengi wanaopinga huwa wanatumia hisia tu na habari za kuambiwa na wengine,hawajawahi kuona na kuchunguza wao wenyewe.Ninakuhakikishia kwamba,mtu yeyote yule atakayechukua uamuzi wa kuchunguza yeye mwenyewe jambo hili,lazima ataujua ukweli,na hili ndilo jambo ninalisisitiza siku zote,lakini badala yake watu wanaishia kupinga tu na kutegemea maneno yaleyale ya kuambiwa kutoka kwenye vyombo vya habari na watu wengine.

Unajua unaweza hata kuona kwa macho jambo fulani lakini usielewe kwanini jambo hilo liko hivyo.Mfano;watu wengi wakiona mtu amepimwa HIV+ na anatumia ARVs halafu mtu huyo anajikuna na ngozi ina upele au nywele zimedhoofika,wanachojua wao ni kwamba matatizo hayo aliyonayo yamesababishwa na HIV,lakini ukweli ni kwamba yamesababishwa na ARVs.Sasa watu hawa wanajua hivyo kutokana na kasumba au habari za kuambiwa za mitaani tu.

Ndio maana huwa nasema,uthibitisho halisi na ukweli wa jambo hili si rahisi kuupata kwa kubishana tu humu JF,unapaswa kujua kwanza haya ninayosema,halafu wewe mwenyewe uende mtaani au kwenye vituo vya afya ukachunguze.Ukifanya hivyo utajionea mwenyewe waziwazi kwamba tumedanganywa.Uongo huu umefanikiwa kudumu kwa muda mrefu kutokana na akili nyingi iliyotumika kudanganya na pamoja na watu kukosa weledi na kuwa wavivu wa kufikiri.

Ukipata case mojawapo na kufanya uchunguzi wa kutosha katika nyanja nilizokuuliza,unaweza kuja tena tujadili.
 
Mkuu me nimekusomà nimekuelewa. Watu wanaokubishia wengi wanauelewa kidogo kuhusu huu ugonjwaa ndo maana ukiwapa majibu yaliyojitosheleza wanashindwa kujitetea. Ningependa kujua zaidi. Naomba nielekeze uzi mwingiñe uliotoa darasa nijifunze

Haiwezekani kuitetea dhana ya HIV/AIDS kwasababu ni ya uongo,ndio maana wale wanaopinga wanaishia kunizungumzia mimi personally,tena kwa mabaya.Hawazungumzii hoja kwasababu hawana facts,na hawawezi kuwa na facts kwasababu dhana hii ni ya uongo,labda walete facts za kuthibitisha uongo ndio wataweza.

Kuna threads nyingi sana,nyigine sizikumbuki mpaka nizitafute kwenye profile yangu.Lakini mojawapo ambayo ina mambo mengi ni hii hapa chini;

Inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?
 
Kama hadithi uliyoleta ni kweli ilitokea kwako,basi nakushauri yafuatayo;

1.Unaoekana kuwa na uelewa wa mambo mengine lakini hili la HIV/AIDS(ambalo ni feki) hulijui,hivyo utayari wako wa kufuatilia ili kujua kwanini na kwa vipi HIV/AIDS ni feki ndio utakaokuokoa.HIV/AIDS ni feki na ndio maana kuna watu wengi wana claim kuwa na dawa na wana claim kuponesha watu,na ni kweli wapo watu wengi waliopima HIV+ halafu wakaja kupima HIV- baadaye,haya yote hutokea kwa kuwa HIV/AIDS ni feki.HIV/AIDS is not real,but rather it is a MINDSET disease.

2.Endelea kufuata uamuzi wako wa kutokunywa ARVs kwa kuwa ARVs ndio kitanzi na ndio zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia baada ya muda mrefu,kama hutumii ARVs hutakufa kwa hiko kitu kinachoitwa 'HIV'(ambacho ni feki).Matatizo yote unayoyaona kwa wale ambao umeambiwa wameathirika na wanatumia ARVs yamesababishwa na ARVs,kama mtu hatumii ARVs lakini anaumwa,basi lazima ukimpima utamkuta na ugonjwa unaofahamika ambao unatibibika kabisa kama atapewa matibabu mapema,mfano TB,pia ugonjwa huo unampata mtu yeyote bila kujali kama amepimwa HIV+ au HIV-.Nywele kudhoofika/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kutoka vipele/vidonda,ini kufeli,figo kufeli,ugonjwa wa moyo,upungufu wa damu,cancer yoyote na kisukari ni baadhi ya matatizo makubwa yanayowaua wale wanaotumia ARVs,wale wasiotumia ARVs huwezi kuwakuta na matatizo haya hata kama wamepimwa HIV+ na hawajatumia ARVs kwa zaidi ya miaka 40(ie their lifetime).Hapa unatakiwa kujua kwamba ARVs ndio mambo yote,HIV ni scaring tactic tu.Unajengewa woga uogope HIV then unajengewa MINDSET ya kukimbilia kula ARVs ambazo ndizo zitakazokuua,pharmaceutical tycoons have made a very simple trick to grab our minds.

3.Kitu kingine ambacho ni kibaya sana ni kwamba,watu wengi wakishapima na kuambiwa ni HIV+,baaaasi,ndio wamemaliza,hawapimi tena katika maisha yao kwa kuwa tayari kwenye bongo zao kuna kale ka mindset kwamba ukishakuwa na HIV ndio baasi,eti HIV hatoki mwilini mpaka kifo kitakapokukuta.Lakini hawajui kwamba kinachopimwa na kipimo SI HIV,bali vipimo hupima vitu 'VINGINE' kabisa tofauti na HIV,and infact vipimo havipimi kijidudu chochote kile kwa muonekano.Hivi vitu ambavyo naviita 'VINGINE' huweza kuwepo kwenye damu ya mtu yeyote yule(hata Obama au Bush) bila kujali kama kwenye damu kuna vijidudu vyovyote au la.Na ndio maana leo hii ukimuuliza daktari yeyote yule unayemjua kama ameshawahi kuona HIV hata kwa kutumia chombo chochote cha maabara,atakwambia "sijawahi",sasa kama hajawahi kuona HIV kwa macho yake anaamini nini?anapima nini?wamejuaje kama HIV ndio husababisha UKIMWI?Hivyo kama utakuwa tayari nitakushauri jambo la kufanya halafu uende kupima tena mara kwa mara mpaka upata majibu HIV- then uje tena hapa uwe shuhuda kwa wengine,sitahitaji chochote kutoka kwako,hii ni kwasababu ninajua hiki ninachokisema ni ukweli mtupu,sibahatishi.

4.Fahamu pia kwamba MINDSET ndio inayofanya watu washindwe kutofautisha kati ya HIV(ambaye ni feki pia) na UKIMWI(ambao upo lakini hauui).HIV hayupo kiuhalisia,UKIMWI upo lakini SI ugonjwa na hauui.Ukimwi si kitu cha kuogopa kwa kuwa hauui na UKIMWI hausababishwi na HIV(Feki),kila mtu anaweza kupata ukimwi na ukimwi huondoka wenyewe mwilini kama mtu utabadili style ya maisha iliyokufanya uwe na upungufu wa kinga.Akili ni kitu cha ajabu sana,yaani ukisema IKIMWI watu wanaogopa sana,lakini ukisema upungufu wa kinga watu hawashtuki wala kuogopa,watu hawana hisia kwamba UKIMWI ndio upungufu wa kinga,hii inatokana na MINDSET mbovu zilizojengeka kwa zaidi ya miaka 30 baada ya kampeni nzitonzito zilizoambatana na movie zenye vitisho za 'eti ukimwi' na matangazo redioni na kwenye TV,kampeni hizi zimefanikiwa kupenyeza IMANI(na si FACT) kwenye vichwa vya watu ambazo zimedumu hadi leo hii.

NB:
Sitakushauri chochote mpaka pale utakapoonesha utayari,nisingependa kupoteza muda wangu bure kwa mtu aliyegubikwa na MINDSET mbaya.Mtu anayeongozwa na MINDSET mbaya kama hizi za HIV/AIDS huwa ni vigumu sana kuuona ukweli,nina mifano.Hata kama unaeleza FACT, mtu hawezi kuiona hiyo FACT iko wapi,hili ni tatizo kubwa sana.

Habari kama hizi zinapaswa watu wazifurahie kwa kuwa ni habari njema zinazookoa maisha yako na wengine kama utazitujua,lakini kinyume chake watu huishia kudharau na kukebehi tu.Ndio maana nasema hii IMANI tuliyojengewa kwenye HIV/AIDS imetumia akili nyingi sana kiasi cha mtu asiyependa kufikiri kushindwa kung'amua ukweli ulivyo.

Utayari wako wa kusikiliza ndio ukombozi wako kiafya na kifikra hasa kuhusu suala hili.Ninaamini kama ulichoeleza ni kweli na wewe ulikuwa na sifa ya kusoma masters,basi utaelewa hiki ninachosema ingawa hutakuwa na full confidence,full confidence utaipata pale utakapoanza kuruhusu ubongo wako kupokea zaidi ya haya.

HAMNA CHA ADIOS HAPA....
Mkuu mm naomba namba yako
 
Aaah wapii wewe... Mbn unapendaga kuleta story za kuhuzunisha... Me bado sikuamini..
 
Kama hadithi uliyoleta ni kweli ilitokea kwako,basi nakushauri yafuatayo;

1.Unaoekana kuwa na uelewa wa mambo mengine lakini hili la HIV/AIDS(ambalo ni feki) hulijui,hivyo utayari wako wa kufuatilia ili kujua kwanini na kwa vipi HIV/AIDS ni feki ndio utakaokuokoa.HIV/AIDS ni feki na ndio maana kuna watu wengi wana claim kuwa na dawa na wana claim kuponesha watu,na ni kweli wapo watu wengi waliopima HIV+ halafu wakaja kupima HIV- baadaye,haya yote hutokea kwa kuwa HIV/AIDS ni feki.HIV/AIDS is not real,but rather it is a MINDSET disease.

2.Endelea kufuata uamuzi wako wa kutokunywa ARVs kwa kuwa ARVs ndio kitanzi na ndio zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia baada ya muda mrefu,kama hutumii ARVs hutakufa kwa hiko kitu kinachoitwa 'HIV'(ambacho ni feki).Matatizo yote unayoyaona kwa wale ambao umeambiwa wameathirika na wanatumia ARVs yamesababishwa na ARVs,kama mtu hatumii ARVs lakini anaumwa,basi lazima ukimpima utamkuta na ugonjwa unaofahamika ambao unatibibika kabisa kama atapewa matibabu mapema,mfano TB,pia ugonjwa huo unampata mtu yeyote bila kujali kama amepimwa HIV+ au HIV-.Nywele kudhoofika/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kutoka vipele/vidonda,ini kufeli,figo kufeli,ugonjwa wa moyo,upungufu wa damu,cancer yoyote na kisukari ni baadhi ya matatizo makubwa yanayowaua wale wanaotumia ARVs,wale wasiotumia ARVs huwezi kuwakuta na matatizo haya hata kama wamepimwa HIV+ na hawajatumia ARVs kwa zaidi ya miaka 40(ie their lifetime).Hapa unatakiwa kujua kwamba ARVs ndio mambo yote,HIV ni scaring tactic tu.Unajengewa woga uogope HIV then unajengewa MINDSET ya kukimbilia kula ARVs ambazo ndizo zitakazokuua,pharmaceutical tycoons have made a very simple trick to grab our minds.

3.Kitu kingine ambacho ni kibaya sana ni kwamba,watu wengi wakishapima na kuambiwa ni HIV+,baaaasi,ndio wamemaliza,hawapimi tena katika maisha yao kwa kuwa tayari kwenye bongo zao kuna kale ka mindset kwamba ukishakuwa na HIV ndio baasi,eti HIV hatoki mwilini mpaka kifo kitakapokukuta.Lakini hawajui kwamba kinachopimwa na kipimo SI HIV,bali vipimo hupima vitu 'VINGINE' kabisa tofauti na HIV,and infact vipimo havipimi kijidudu chochote kile kwa muonekano.Hivi vitu ambavyo naviita 'VINGINE' huweza kuwepo kwenye damu ya mtu yeyote yule(hata Obama au Bush) bila kujali kama kwenye damu kuna vijidudu vyovyote au la.Na ndio maana leo hii ukimuuliza daktari yeyote yule unayemjua kama ameshawahi kuona HIV hata kwa kutumia chombo chochote cha maabara,atakwambia "sijawahi",sasa kama hajawahi kuona HIV kwa macho yake anaamini nini?anapima nini?wamejuaje kama HIV ndio husababisha UKIMWI?Hivyo kama utakuwa tayari nitakushauri jambo la kufanya halafu uende kupima tena mara kwa mara mpaka upata majibu HIV- then uje tena hapa uwe shuhuda kwa wengine,sitahitaji chochote kutoka kwako,hii ni kwasababu ninajua hiki ninachokisema ni ukweli mtupu,sibahatishi.

4.Fahamu pia kwamba MINDSET ndio inayofanya watu washindwe kutofautisha kati ya HIV(ambaye ni feki pia) na UKIMWI(ambao upo lakini hauui).HIV hayupo kiuhalisia,UKIMWI upo lakini SI ugonjwa na hauui.Ukimwi si kitu cha kuogopa kwa kuwa hauui na UKIMWI hausababishwi na HIV(Feki),kila mtu anaweza kupata ukimwi na ukimwi huondoka wenyewe mwilini kama mtu utabadili style ya maisha iliyokufanya uwe na upungufu wa kinga.Akili ni kitu cha ajabu sana,yaani ukisema IKIMWI watu wanaogopa sana,lakini ukisema upungufu wa kinga watu hawashtuki wala kuogopa,watu hawana hisia kwamba UKIMWI ndio upungufu wa kinga,hii inatokana na MINDSET mbovu zilizojengeka kwa zaidi ya miaka 30 baada ya kampeni nzitonzito zilizoambatana na movie zenye vitisho za 'eti ukimwi' na matangazo redioni na kwenye TV,kampeni hizi zimefanikiwa kupenyeza IMANI(na si FACT) kwenye vichwa vya watu ambazo zimedumu hadi leo hii.

NB:
Sitakushauri chochote mpaka pale utakapoonesha utayari,nisingependa kupoteza muda wangu bure kwa mtu aliyegubikwa na MINDSET mbaya.Mtu anayeongozwa na MINDSET mbaya kama hizi za HIV/AIDS huwa ni vigumu sana kuuona ukweli,nina mifano.Hata kama unaeleza FACT, mtu hawezi kuiona hiyo FACT iko wapi,hili ni tatizo kubwa sana.

Habari kama hizi zinapaswa watu wazifurahie kwa kuwa ni habari njema zinazookoa maisha yako na wengine kama utazitujua,lakini kinyume chake watu huishia kudharau na kukebehi tu.Ndio maana nasema hii IMANI tuliyojengewa kwenye HIV/AIDS imetumia akili nyingi sana kiasi cha mtu asiyependa kufikiri kushindwa kung'amua ukweli ulivyo.

Utayari wako wa kusikiliza ndio ukombozi wako kiafya na kifikra hasa kuhusu suala hili.Ninaamini kama ulichoeleza ni kweli na wewe ulikuwa na sifa ya kusoma masters,basi utaelewa hiki ninachosema ingawa hutakuwa na full confidence,full confidence utaipata pale utakapoanza kuruhusu ubongo wako kupokea zaidi ya haya.

HAMNA CHA ADIOS HAPA....
Ndugu Deception pole kwa kazi ya kuendelea kuelimisha jamii, nina mwaka sija comment humu ila nilipoona id yako nimeshindwa kujizuia ku comment hasa kwenye uzi kama huu, usichoke kuwaelimisha tayari washakuwa brain washed hawa, i do salute you.
 
Hongera Mkuu Deception mimi binafsi nimekuelewa vyema kabisa,endelea kutoa elimu kuna maktari humu wameaminishwa uongo huu na wao wameubeba hivi hivi........mi nachoamini kinaua ni kupima na kuambiwa unaumwa mawazo yanapozidi hata chakula hakipandi hapo ndipo hata kinga mwili hushuka na kupelekea mtu kuanza kuugua maradhi na ile dhana ya kwamba ukiugua Ukimwi huponi hiyo ndo kabisa!!
 
Deception naomba nikuulize swali moja hapo uniondolee utata,sasa hivi vipimo vya HIV wamevitengenezaje mpaka ukipima unaoonekana HIV+ yaani vipimo vimetengenezwaje au kinachoonekana kwe damu ni kitu gani ila wao wanasema ni HIV??
Naomba unieleweshe hapo ili twende sawa,na kiujumla mi nimekuelewa sana huko nyuma!!
 
Khee!

Nakulazimishaje uende usikotaka kwenda?
Ila Nyani Ngabu unapenda sana watu wajadili umri wako, sijaelewa ni kwanini. Kwa maoni yangu huwezi zuia watu kufikiri wanavyotaka kufikiri. Na haipunguzi au kuongeza kitu mtu akijifanya kukujua. Kwenye uzi huu, suala la umri wako umelianzisha mwenyewe. Sielewi sana kwakweli.
 
Back
Top Bottom