Ukiishi kwa kuangalia watu wanakufikiriaje utakuwa mtumwa katika maisha yako yote,hali hiyo inaweza ku dictate hata maamuzi muhimu utakayoweza kufanya katika maisha yako au ya wengine.Kamwe usiruhusu hali hiyo ikutawale.Kumbuka kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analolipenda,mada kama hizi si za kulazimishana hata kama ni muhimu katika maisha ya watu.Deception
Nimegundua majority wanakupuuza so you may change course of your facts, they are either not believed, encouraged or pipo don't want to duscuss them
It's better to be feared than ignored- 48 laws of power
be blessed.....
Kumbuka pia kuna watu wengi wanasoma uzi huu hata kama hawachangii humu.Hivyo sikulenga hadhira ya humu peke yake,kuna hadhira ya nje ya hapa pia wanasoma uzi huu.Kati ya watu 100 ukiokoa hata mmoja nayo ni step kubwa,yule mmoja ataokoa wengine na chain itaendelea.Mabadiliko yoyote yale huwa hayatokei ghafla,huja taratibu na kuna changamoto zake pia.
Ninapokuwa najadili mada kama hizi huwa siangalii watu kama wanapuuza au la,hata kama atatokea mmoja tu anayehitaji msaada nitakwenda na huyo mmoja hadi mwisho.