ila mwanamume anaaminiwa sio?? wakuaminiwa ni mama mzazi tu ikiwa alikuwek tumboni miezi 9 akakuzaa kwa uchungu na kukulea kwa umakini hadi ukakua basi hawezi kukudhuru wala kukuumizaAliekwambia mwanamke anaamiwa nani,??
wanaume ni nini mkuu?? mijusi au??Nilikuwa namuamini sana mke wangu nikagundua jamaa alikuwa anabandua, niliumia sana . Wanawake ni nyoka
Umempendelea mkuu ni Zaidi ya milioni 30.View attachment 518273
Huyu Jenerali alikuwa haamini mtu, yoyote aliyeingia chumbani kwake aliuliwa, kuna muda alikuwa anajifanya analia kwa maumivu na mlinzi wake yoyote aliye kuwa akiingia kumjulia hali alipigwa shaba, alisababisha vifo vya karibia watu milioni 20.
Jitahidi kutafuta unayemzidi miaka at least 5.27 years na yeye 25 na tumedumu kwa miaka 4
Haah! Kwahiyo hii ndio dawa!!!? Hakunaga formula maalum kumpata waukweli.Jitahidi kutafuta unayemzidi miaka at least 5.
Difference ya miaka miwili still a problem.
Kwa maana hiyo anza dating ukiwa na miaka 30.
Hayo ni ya kwako, ya mwangu nilishasema. Jiongezewanaume ni nini mkuu?? mijusi au??
Tatizo wanaume mkiumizwa mnapenda kulalamika sana kwenye kadamnasi nyie mnafikiri wanawake hawaumizwi? Mwanamke akiumizwa hulia nakuugulia kifuani baada ya hapo anasonga mbele wanaume niwengi sana wanaumiza k sana anaweza mwambia k ngoja nimalizie kusoma nikirudi tunaoanaWakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
siku akirudi ni anamchumba au mke kabisa hapo kapata msomi mwenzie mwenzangu namimi mshamba umeachwa njia panda uliowakataa walisha oa unabaki kujuta hivyo si wanawake bali wanaume mnatamaa sana.Ukipiga msawaki,edit post yako!Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Etieee Naona kuna umuhimu wa kuwa na mahakama ya mapenzi haiwezekani tukaumizana namna hiiTatizo wanaume mkiumizwa mnapenda kulalamika sana kwenye kadamnasi nyie mnafikiri wanawake hawaumizwi? Mwanamke akiumizwa hulia nakuugulia kifuani baada ya hapo anasonga mbele wanaume niwengi sana wanaumiza k sana anaweza mwambia k ngoja nimalizie kusoma nikirudi tunaoana![]()
![]()
siku akirudi ni anamchumba au mke kabisa hapo kapata msomi mwenzie mwenzangu namimi mshamba umeachwa njia panda uliowakataa walisha oa unabaki kujuta hivyo si wanawake bali wanaume mnatamaa sana.
Hahaha wewe kabisa na kuonywa kote kwenye biblia unamwamini mwanamke?? Ni yule wa kigamboni au??Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.