Jamani uandishi wako ndo uumenifanya nichekeMkuu unaona mazuri mimi kuhenyeshwa?
umesota miaka minne kitaa tangu umalize chuo alafu miaka yako 24 kwaiyo ulimaliza chuo ukiwa na miaka 20?[emoji23] [emoji23] [emoji26] ukaongeza na minne ya kusota na ulianza ukiwa na miaka 17 daaah aiseeee!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] kindly story yako nzuri kijana ongera!!
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuelewa mkuu usijali wala nini [emoji23] [emoji23]Mkuu kuchanganyikiwa tuu. Usinilaumu bhana ni maisha tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Jemmy yupo kwa trump mimi nipo kwa bibi nyau[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona A wangu anaishi hukohuko kabisaMkuu nishakwambia Jemmy ni dizaini ya kimataifa