Sitaisahau siku ya interview

Sitaisahau siku ya interview

umesota miaka minne kitaa tangu umalize chuo alafu miaka yako 24 kwaiyo ulimaliza chuo ukiwa na miaka 20? ukaongeza na minne ya kusota na ulianza ukiwa na miaka 17 daaah aiseeee!! kindly story yako nzuri kijana ongera!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu kuchanganyikiwa tuu. Usinilaumu bhana ni maisha tuu
 
Back
Top Bottom