ukaongeza na minne ya kusota na ulianza ukiwa na miaka 17 daaah aiseeee!!
kindly story yako nzuri kijana ongera!!Jamani uandishi wako ndo uumenifanya nichekeMkuu unaona mazuri mimi kuhenyeshwa?
umesota miaka minne kitaa tangu umalize chuo alafu miaka yako 24 kwaiyo ulimaliza chuo ukiwa na miaka 20?![]()
![]()
ukaongeza na minne ya kusota na ulianza ukiwa na miaka 17 daaah aiseeee!!
![]()
![]()
![]()
kindly story yako nzuri kijana ongera!!
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuelewa mkuu usijali wala niniMkuu kuchanganyikiwa tuu. Usinilaumu bhana ni maisha tuu
Mkuu mbona A wangu anaishi hukohuko kabisaMkuu nishakwambia Jemmy ni dizaini ya kimataifa