Sitaisahau siku ya interview

Sitaisahau siku ya interview

Mku umeandika vizuri sana hasa kwenye mifano yako nimependa sana tena sana, lakini unekosea kwa mfano wa jiwe, kuwa fisadi anayenyemelea mfuko wa jiwe , jiwe naye ndiye fisadi kuu (1.5tr)
 
Mku umeandika vizuri sana hasa kwenye mifano yako nimependa sana tena sana, lakini unekosea kwa mfano wa jiwe, kuwa fisadi anayenyemelea mfuko wa jiwe , jiwe naye ndiye fisadi kuu (1.5tr)


Mkuu Fisadi Jiwe hataki kuibiwa na Mafisadi wenzake. Si unajua Mkuki kwa nguruwe........
 
Namaanisha ingekuwa upande wako mngekuwa na Jemmy hadi leo


Nakuelewa Mkuu, Yaan Jemmy anapigwa na upepo huko wa kitropiko mimi ndio nahangaika tuu huku na vumbi la Tandale
 
Back
Top Bottom