Ukimsoma vizuri tena kwa utulivu utapata majibu ya maswali yako na nini anataka pia utaona, nani afanye pia kamgusiaEbu ngoja nikae kwa hapa, labda nitaelewa badae baada ya comments kuongezeka.
Sawa, sote tunatambua sakata la yalio jiri Bulyanhulu kuanzia mwaka 1996. Sasa ndio ungesema nini unahisi hakikufanyika na nani alie sababisha?
Baada ya hapo ungependekeza nini unadhani kifanyike na unadhani ni jukumu la nani kutimiza hilo pendekezo lako?