Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Leo katika zunguka yangu ile nimetoka mitaa ya maskani nikaamua kukamata basi chap chap kwani nilikuwa siendi mbali.. basi lilikuwa halina watu wengi nikakaa fresh kwenye kiti kilichokuwa karibu yangu.. kiti cha pembeni kulikuwa na bonge ya sista do,na alikuwa ametupia vitu vya ukweli amekaa amepakata i pad anabrowse na chupa ya maji mkononi.. baada kama ya dk 5 hivi sista do akajaribu kufungua ile chupa yake ya maji kisista do akaiona kama vile ni ngumu kidogo ... nikawa namwangalia ...bila ya kusita akaniomba nimfungulie na mimi bial ya hiana nikaifungua nikamrudishia....kituo kilichofuata nikashuka nikamwacha sista do wa watu akaendelea na safari zake.. nimempigia hii stori mwana wangu mmoja ananiambia ningechukau namba ya huyu sista du ila kiukweli jambo nililofanya la kutochukua namba na kuendelea na mambo yangu ndio naona ni uamuzi mzuri kwangu...vipi masista du wetu wa bongo? soda ya chupa wanafungua hadi na meno
hahah....nawapenda dada zetu wa kibongo na nawa miss
hahah....nawapenda dada zetu wa kibongo na nawa miss