Sisi Watanzania ni wanafiki

Sisi Watanzania ni wanafiki

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,819
Reaction score
40,320
Hakika Watanzania sisi tuna unafiki wa hali ya juu mno sijawahi kuuona popote duniani.

Wamepotea watu kimaajabu wanaokotwa Baharini na mitoni hatukuimba kwaya kulilia haya maovu.

Kapotea Ben kimya
Kapotea Azory kimya
Kapotea kanguye kimya
Akwilina kauwawa kimya
Lisu chupuchupu kuuwawa kimya

Ndioo kwanza tukaenda kuunga mkono juhudi.

Leo kijikorona kimetubip basi makelele TBC mpaka utadhani tuko kwenye msiba wa nyerere!

Sisi wanafiki Sana ndio maana Mungu habariki juhudi zetu .

Mpaka Leo kunawatu wanaumia kwanini Mungu kamponya Lisu Yani angekufa kabisa!!

Hiyo ndio Tanzania yenye wimbo wa taifa Mungu ibariki Tanzania!
 
Kuna kajeshi kapo mtaani kwa ajili ya kutisha watu na kufanya lolote kumpendeza mkuu wao tuwe makini October.
 
Sasa Kama taifa tukiweka kilio kwa mtu mmoja mmoja 🤔 what next?
Shida yako unafananisha kupotea kwa mtu (beni saa8)ambayo ni personal na majanga ya kitaifa Kama Corona

🤔napata ukakasi na uwezo wako wakufikiri.
 
Back
Top Bottom