tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,420
- 4,763
Hivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Inasikitisha sana.Hivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Tena kama ni vijana akili zetu zinawaza kubet tuHivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Sasa Yanga na simba zinaingiaje kwenye ajali ya ndege!! Wewe unatakiwa kuilaumu serikali yako ya ccm, ambayo kimsingi haijitambui.Hivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Mkuu hapo wangesikia watu wenye nguo za chadema wameenda kule ungekuta mpaka makomandoo wmaepelekwaHivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Labda utafute gari kubwa tano zenye mzigo halafu uziunganishe inaweza kuwa imezama kwenye tope.mita mia imeshindikana kufunga kama halafu magari makubwa yakavuta! mbona sisi wajinga sana jamani
Kwani ilishindikana Nini, au watu wana nguvu kuliko magari ??Labda utafute gari kubwa tano zenye mzigo halafu uziunganishe inaweza kuwa imezama kwenye tope.
CCM sio ya kuilaumu mkuu kwani wao wameshatuonyesha kila aina ya ubaya kupitia serikali inayoiongoza lakini bado tunaikumbatiaSasa Yanga na simba zinaingiaje kwenye ajali ya ndege!! Wewe unatakiwa kuilaumu serikali yako ya ccm, ambayo kimsingi haijitambui.
Mkuu usiwatukane watanzania kwa kisa la serikali. Unataka wananchi ndio wafanye majukumu ya serikali. Nini maana ya kuwa na serikali?Hivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Wote hao walamihogo hawana akiliSasa Yanga na simba zinaingiaje kwenye ajali ya ndege!! Wewe unatakiwa kuilaumu serikali yako ya ccm, ambayo kimsingi haijitambui.
acha upuuzi wako kwenye majonzi, msiba hauna cha chama wala nini, chadema muwe na akili japo kidogo, msiwe wapuuzi muda wote.Mkuu hapo wangesikia watu wenye nguo za chadema wameenda kule ungekuta mpaka makomandoo wmaepelekwa
Wanawaza jinsi ya kushinda uchaguzi hao hawana muda na nyieHivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Ni aibu kubwa kwamba baada ya Miaka sitini ya uhuru ndege inavutwa kwa kamba!! Hatuko serious kwa kweli!!Hivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
KabisaTena kama ni vijana akili zetu zinawaza kubet tu