Sisi Watanzania Mbululu Sana

Sisi Watanzania Mbululu Sana

Wewe umechangia nini kwenye hii nchi hadi leo?

Tatizo la watu wa nchi hii ni kulalamika tu bila kutoa suluhisho lolote lile na wote mnategemea mwingine ndo afanye. Tutaendelea kulalamikiana na kusubiriana hadi ukamilifu wa dahari.
 
Hivi unahitaji akili gani, kuokoa watu na mali za kwenye ndege ambayo iko ufukweni mwa ziwa? Akili zetu zimejaa siasa na mpira wa Simba na Yanga tu. Kwa kweli ni fedheha.
Mdomo ni rahisi sana ila Vitendo sasa..

Kwa kuwa ajari za magari wanaofariki wengi ni wanyonge sasa wenye nafasi wamepatwa na tukio Naona kelele nyingi..

Safi Sana bila shaka next time mtakumbuka kuwa sharp.
 
Dark humor

WhatsApp Image 2022-11-06 at 10.44.45 AM.jpeg
 
Wewe umechangia nini kwenye hii nchi hadi leo?

Tatizo la watu wa nchi hii ni kulalamika tu bila kutoa suluhisho lolote lile na wote mnategemea mwingine ndo afanye. Tutaendelea kulalamikiana na kusubiriana hadi ukamilifu wa dahari.
Nimelipa kodi! Au hujui Hilo. Ukishalipa kodi serikali makini inapanga vipaumbele ili kuwahudumia wananchi.
 
Back
Top Bottom