Hahaha...mimi ni mstaarabu huwa nawashtua kama wakikaa pozi baya baya
Dada mjasiriamali na kijana mtathimini mali
Kiuhalisia kwenye mitaa yetu ya Kitz...Mama Lishe ndio huwa chakula ya vijana kama hao.
Wengi hushawishiwa kwa pesa ndogo tu na kufanywa nyumba ndogo.
anampatia picha kamaa wangekuwako eneo jingine wawili tuuuuuuuu