Sisi Wanaume Bhanaaa

Sisi Wanaume Bhanaaa

........mtumeeeeeeeeee!!! unataka apate presha za hafsa kazinja?!?!?
i love you too Mr Rocky .............babe sosoliso simaanishi mwayego!!!

Paloma ushaharibu. We nilikuambia ufute ukishasoma sasa hapa wadau sosoliso na Mamndenyi wanasoma na lazima presha za hafsa zipande na kushuka hapa
Hebu futaa maandishi haya na wino mweusi kabisa
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mbali sana

Hahaha mkuu ndio zilikuwa zako nini...kioo unakifunga kwenye kipande cha mti halafu unakisogeza downstair kucheki kideo...
 
Paloma ushaharibu. We nilikuambia ufute ukishasoma sasa hapa wadau sosoliso na Mamndenyi wanasoma na lazima presha za hafsa zipande na kushuka hapa
Hebu futaa maandishi haya na wino mweusi kabisa

kwani kuna baya gani nilosema hapo?!?!? Mamndenyi yupo poa tu maana anajua nilivyotulia kwa sosoliso.....simuachi asilani huyu mwanaume!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom