Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

Aisee kama kawa maeneo yetu ila kabla sijaenda kiti kirefu nataka nihakikishe nammiliki mtu humu ndani bado ya hapo naenda kumlipia na kodi TRA kabisa

Hilo nalo neno
Japo najua umiliki wako ni short term contract
 
Ngoja nao wanawake waje waanzishe thread yao ya sisi ndiyo wanawake bana, ndipo hapo tifu likapokolea.
 
Mj1,bora umeona ukweli wenyewe hapo juu,mwenye akili atajionea.Wacha wapige makelele tu!
 
Eh umenikumbusha swali la Bigirita: Kuwa
Mwanaume akiwa hajaoa anajulikana kwa Prefix ya Mr wakati Mwanamke anakuwa Miss
Mwanaume akioa anabaki na Prefix yake ya Mr wakati Mwanamke anahamia kwenye Prefix ya Mr na kuongezea s (Mrs)
Ndoa inapovunjika mwanaume anabakia the same Mr wakati mwanamke anaipoteza r na kubakiza Ms.

So maisha ya Mwanamke always yanarevolve around Mwanaume!!

Kifupi: Sina point tena hapo

Yeah maisha ya mwanamke yanabadilishwa kama remote control na mwanaume utake usitake ndo hivyo
 
Eh umenikumbusha swali la Bigirita: Kuwa
Mwanaume akiwa hajaoa anajulikana kwa Prefix ya Mr wakati Mwanamke anakuwa Miss
Mwanaume akioa anabaki na Prefix yake ya Mr wakati Mwanamke anahamia kwenye Prefix ya Mr na kuongezea s (Mrs)
Ndoa inapovunjika mwanaume anabakia the same Mr wakati mwanamke anaipoteza r na kubakiza Ms.

So maisha ya Mwanamke always yanarevolve around Mwanaume!!

Kifupi: Sina point tena hapo
Hiki ndicho kinanifanya nizidi kukupenda mjukuu wangu mtiifu..... Haya kuna mwingine kakuongezea mapointi hapa chini.

Tena ODM waulize,mbona wanatoka kwao wanakuja kwetu?Halafu hata wakitaka kwenda kokote lazima nitoe ruksa!Tatizo hajiongezi!!
 
na TRA wanapeleka muswada bngeni, maana serkali inakosa kodi nyingi kwnye mahari. Jiandaeni kulipa 20%

Hizo 20% zitawatoka wenyewe mifukoni mwenu, kama tunataka milioni 10 tutawadai 12 ili tumuachie JK chake cha 2 M
 
Kwa kibongo bongo mwanaume analipiwa mali??

Hawalipiwi lakini wapo pia ambao hawadaiwi hata robo shilingi. Na wengine wanapewa mahari hizo hizo na hao wanawake zao wanaoenda kuwaoa so mwanamke anajinunua mwenyewe!
 
Inategemea na sehemu na sehemu. Some mwanamke analipiwa mahari. some mwanaume na some hakuna anayelipiwa hata ndururu.
Hivi mahari ikipokelewa anakabidhiwa mwali au wazazi? Kama wanapewa wazazi maana yake ni kuwa wazazi "wameniuzia" umiliki wa binti yao. gadem! Mi sitapokea mahari ya binti zangu wallah!
 
Hommie unanidai bia mbili.....no bia TANO. Na ile kitu yetu.....
 
Hizo 20% zitawatoka wenyewe mifukoni mwenu, kama tunataka milioni 10 tutawadai 12 ili tumuachie JK chake cha 2 M
Nafikiri sheria inaweza kupitishwa JK akiwa ameondoka madarakani maana huyu jamaa anaweza kufanya mambo ya ajabu ukakuta hata hizo asilimia 20 tunalipa sisi wenyewe
 
Eh umenikumbusha swali la Bigirita: Kuwa
Mwanaume akiwa hajaoa anajulikana kwa Prefix ya Mr wakati Mwanamke anakuwa Miss
Mwanaume akioa anabaki na Prefix yake ya Mr wakati Mwanamke anahamia kwenye Prefix ya Mr na kuongezea s (Mrs)
Ndoa inapovunjika mwanaume anabakia the same Mr wakati mwanamke anaipoteza r na kubakiza Ms.

So maisha ya Mwanamke always yanarevolve around Mwanaume!!

Kifupi: Sina point tena hapo

Aaaah Mwanajamii1

Siku hizi mambo ni kuwa Ms mwanzo mwisho wa maisha yako. Akikuoa akikuacha akikuletea kimada, hawara na nyumba ndogo atajijua mwenyewe! lol
 
Baada ya kutoa hizo mil 12 lazima nianze mchakato wa kutafuta faida ya hizo mil 12,imekuwa biashara tayari!Hutaki chapa lapa na urudishe njuruuu zangu!
 
Halafu Babu nikuulize mtu anawezajiita mmiliki wa kitu ambacho hajamaliza kukilipia? Si wanasemaga mahari haimaliziwagi?? Hata sijui kwa nini na sisi tunakimbiliaga kujibatiza majina yenu ilhali wengine hatukutolewaga mahaari na wengine bado wamekopeshwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom