bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
Sasa nyie si mmeamua kukaba hivi hauoni Gaijin anaziba mianya yote umebakia huo mmoja tu ambao ni VAT Inclusive ila nimeomba sheria hii isipitishwe wakati JK bado yuko madarakani.
umemuomba nani? Makinda?
sasa mimi ntasusia vikao ipitishwe haraka na tena ifanye kazi "kinyume nyume" (yaani kuanzia waliooa wakati wa uhuru, iwahusu...)