Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Habari zenu waungwana.....
Huu ni waraka kwa vijana/wavulana wanaokaribia kuwa WANAUME. Kuwa MWANAUME si mchezo na si lelemama. Ushawahi kusikia Chama cha Wanaume, Umoja wa Wanaume, Umoja wa Wanasheria Wanaume, Umoja wa Madaktari wanaume etc?........ Hii inamaanisha MWANAUME ni Taasisi inayojitegemea.
Mwanaume kamili aliyekamilika si kama yule aliyozungumzia Bishanga kwenye sredi yake (kwa makusudi siweki link yake hapa)
Ili uwe MWANAUME yakupasa kwanza kabisa kumshukuru Mungu kwa kuumbwa jinsia ya kiume. Umepewa upendeleo lazima ushukuru. Halafu:
1. Uwe RIJALI na MMILIKI (hili halihitaji ufafanuzi) Ukishakuwa rijali unapaswa uwe na UMILIKI. Umiliki wa mwanaume rijali ni umiliki wa MWANAMKE/WANAWAKE. Iwe rasmi au vinginevyo. (Umiliki wa watoto pia ni muhimu japokuwa hili lategemea zaidi mapenzi ya Mungu). Ikumbukwe kuwa Mwanamke ni MALI ya mwanaume lakini watoto ni mali ya Mwanamke na Mwanamme.
2.Uwe na MAAMUZI. Usilegelege katika maamuzi yako. Mwanaume ndiyo kichwa cha familia, kichwa hakipaswi kuyumbishwa na mabega.....sawa? Kumbuka wewe ni taasisi!
3. MWAJIBIKAJI: Ni wajibu wako kuhakikisha Mwanamke UNAYEMMILIKI anatosheka na na kuridhika na huduma zako. Bioloji yake ipate habari yake sawa sawa, tumbo lake lipate chakula cha kutosha, mwili wake upate mavazi na miguu viatu. Mkipata watoto na mwanamke wako ni wajibu wako kuhakikisha wanapata mahitaji yote wanayostahili. Kama huna uwezo kwanini uzae kama kuku? Kulaaaleki!
4. Ukishafanikiwa kuyamudu yooote hayo hapo juu, usisahau kuwa duniani kuna wanaume wenzako. Tafuta muda wa kukutana na wanaume wenzako uongeze ujuzi na maarifa ya kuuishi uanaume. Hapo valuu, biya na nyama choma vinaruhusiwa kusikiliza maongezi yenu. Ukishapiga haya makitu rudi kwa mwanamke wako kampe haki yake kulaaleki. Ikumbukwe kuwahi kurudi nyumbani si sifa ya mwanaume. Mwache Mwanamke wako awe na muda wa kuwa huru na kulea watoto.
5. Inapotokea kwa namna yoyote na kwa sababu yoyote ile necha ikashika kasi ukajikuta unaenda nje ya MWANAMKE WAKO, hakikisha unaenda kwa uangalifu. MWANAMKE WAKO asijue! Kosa kubwa sana akijua, na hii si sifa ya mwanaume. Huo ni uvulana. Na huko ufanye kwa UANGALIFU. Usijemletea maradhi MWANAMKE wako.
Kuna wakongwe wenzangu, WANAUME wenzangu kibao wako hapa jamvini wanaweza kuendeleza huo mlolongo.
Au kama vipi, leo ni ijumaa, twaweza panga mkakati wa kukutana ili tuzungumzie uanaume wetu.
SISI NDIO WANAUME BANA! Wanaume ndio SISI.
Wanaume wengine hawa hapa wanaendeleza waraka.....
Huu ni waraka kwa vijana/wavulana wanaokaribia kuwa WANAUME. Kuwa MWANAUME si mchezo na si lelemama. Ushawahi kusikia Chama cha Wanaume, Umoja wa Wanaume, Umoja wa Wanasheria Wanaume, Umoja wa Madaktari wanaume etc?........ Hii inamaanisha MWANAUME ni Taasisi inayojitegemea.
Mwanaume kamili aliyekamilika si kama yule aliyozungumzia Bishanga kwenye sredi yake (kwa makusudi siweki link yake hapa)
Ili uwe MWANAUME yakupasa kwanza kabisa kumshukuru Mungu kwa kuumbwa jinsia ya kiume. Umepewa upendeleo lazima ushukuru. Halafu:
1. Uwe RIJALI na MMILIKI (hili halihitaji ufafanuzi) Ukishakuwa rijali unapaswa uwe na UMILIKI. Umiliki wa mwanaume rijali ni umiliki wa MWANAMKE/WANAWAKE. Iwe rasmi au vinginevyo. (Umiliki wa watoto pia ni muhimu japokuwa hili lategemea zaidi mapenzi ya Mungu). Ikumbukwe kuwa Mwanamke ni MALI ya mwanaume lakini watoto ni mali ya Mwanamke na Mwanamme.
2.Uwe na MAAMUZI. Usilegelege katika maamuzi yako. Mwanaume ndiyo kichwa cha familia, kichwa hakipaswi kuyumbishwa na mabega.....sawa? Kumbuka wewe ni taasisi!
3. MWAJIBIKAJI: Ni wajibu wako kuhakikisha Mwanamke UNAYEMMILIKI anatosheka na na kuridhika na huduma zako. Bioloji yake ipate habari yake sawa sawa, tumbo lake lipate chakula cha kutosha, mwili wake upate mavazi na miguu viatu. Mkipata watoto na mwanamke wako ni wajibu wako kuhakikisha wanapata mahitaji yote wanayostahili. Kama huna uwezo kwanini uzae kama kuku? Kulaaaleki!
4. Ukishafanikiwa kuyamudu yooote hayo hapo juu, usisahau kuwa duniani kuna wanaume wenzako. Tafuta muda wa kukutana na wanaume wenzako uongeze ujuzi na maarifa ya kuuishi uanaume. Hapo valuu, biya na nyama choma vinaruhusiwa kusikiliza maongezi yenu. Ukishapiga haya makitu rudi kwa mwanamke wako kampe haki yake kulaaleki. Ikumbukwe kuwahi kurudi nyumbani si sifa ya mwanaume. Mwache Mwanamke wako awe na muda wa kuwa huru na kulea watoto.
5. Inapotokea kwa namna yoyote na kwa sababu yoyote ile necha ikashika kasi ukajikuta unaenda nje ya MWANAMKE WAKO, hakikisha unaenda kwa uangalifu. MWANAMKE WAKO asijue! Kosa kubwa sana akijua, na hii si sifa ya mwanaume. Huo ni uvulana. Na huko ufanye kwa UANGALIFU. Usijemletea maradhi MWANAMKE wako.
Kuna wakongwe wenzangu, WANAUME wenzangu kibao wako hapa jamvini wanaweza kuendeleza huo mlolongo.
Au kama vipi, leo ni ijumaa, twaweza panga mkakati wa kukutana ili tuzungumzie uanaume wetu.
SISI NDIO WANAUME BANA! Wanaume ndio SISI.
Wanaume wengine hawa hapa wanaendeleza waraka.....
naongeza na mimi hapa....
6.MWANAUME kuheshimiwa na kukubaliwa na wanaume wenzako ni muhimu kama ilivyo umuhimu
wa 'dhamana' unapoenda benki kukopa,kwani mambo yakiku chachia watakaokusaidia mostly ni wanaume wenzio
so sifa kwa kina mama tafuta lakini 'heshima' kwa wanaume wenzio usivunje...
7.Jua 'limitations zako ' kwa kila unachokifanya iwe 'kukimbiza wanawake' kunywa pombe na kadhalika
hakuna mjanja wa kila kitu,jua mwisho wa ujanja wako,ujiepushe na 'mitego' ya wajanja zaidi yako..
8. Unaposifiwa sana 'stuka' baadhi ya sifa ni 'mitego lol
9.Usimuamini mwanamke kwa asilimia 100 hata mama yako mzazi....lakini wapende na kuwaheshimu wanawake na haki zao uwape..
10. tofautisha mambo ya 'msingi' na ya 'ziada' katika maisha yako....l.
ya msingi kwanza,ya ziada ndo yanafuata....
Asee!!! duh!!
sasa hapa,...aseee, duh! yani ni kwamba,
wale wavulana, ruksa kuhangaika na wasichana ambao hawajamilikiwa na WANAUME.
....namba nne na namba tano haijakaa vizuri bana....
- mwanaume kweli hazunguki kupata akili za mbayuwayu...anajitosheleza na akili na mamuzi yake magumu.
- hiyo namba tano imekaa kiuoga uoga mno bana, usingeiweka hapo...kama hujiamini 'mke asijue,' yanini kufanya bana?
ukiingia vitani usiogope kufa bana...
ni mtazamo wangu tu mbu.
11. Mwanaume ni mlinzi mkuu wa familia, ikitokea hatari kama ujambazi na kadhalika uwe tayari kufa kwa ajili ya familia.
Hivyo kila wakati usalama wa familia uko mikononi mwako. Huo ndio uanaume. Jasiri,shujaa
12. Mheshimu sana mkeo, mwelewe,umjue na mpende, mwanamke akikasirika ni hatari sana anaweza akaua familia nzima.
13. Kwa mujibu wa biblia, tumeumbwa kwa mfano wa mungu......
14. Ni kweli sisi ndio wanaume, siku zote tunamshukuru mungu kutuumba hivi kuwa wanaume.
15. Ukiwa mwanaume kumbuka kutenda,haki kwa familia na wengine.
16. Kwa namna yoyote ile simama peke yako,usitegemee pesa ya mkeo,pesa yako ni yake na yake ni yake.
17. Wewe ndie kiongozi mkuu wa familia, tuliza kichwa chako kabla hujaamua jambo. Vinginevyo unayumbisha familia.
18. Elewa policy ya familia, inahitaji nini kimaendeleo na wewe utakuwa mstari wa mbele kuitekeleza.
19. Pafanye nyumbani kwako pawe mahali pazuri pa kuishi..''home sweet home'' kwani hakuna kero,uonevu
dharau.kwa ajili hiyo kila mwanafamilia atapenda kuwa home muda wote.
20.TAFUTA PESA HALALI KWA BIDII ZOTE.............KWELI SISI NDIO WANAUME.
21.NI WAGUMU WA KUTOA MACHOZI/KULIA HADHARANI, TUKIZIDIWA TUNAENDA PEMBENI TUNALIAAA TENA SI KWA KUTOA SAUTI BAADAE TUNARUDI.
USO MKAVU.....HAPO UNALIA KIMOYOMOYO MWANAUME.