Sishauri mtu kusoma PhD OUT


Wanachosa Sana mkuu. Wanakera Sana.
 
Mh. Mwendazake ndiyo yaliyomkuta.

Taasisi kama hiyo ya "Chuo Kikuu Huria Tz" na nyingine za serikali ni majanga yani.

Watu wanajikuta sana utadhani walilazimishwa kuomba hizo nafasi za kazi.

Unampigia simu secretary anakata na ukimpigia Tena hapokei. Anakuona kero unamsumbua. Najiuliza wapo pale kwajili ya nani kama mwanafunzi ni kero kwao?
 
Nilitaka nimshauri hivi hivi mkono mtupu haulambwi. Sikuhizi hadi kwenye misiba kuna rushwa. Mc anapewa rushwa ilimradi aseme natambua uwepo wa Adverse effect. Hasa hasa wanasiasa.

Kumbe na rushwa wanachukua. Shida Mimi nilitaka supervisor anisimamie bila influence ya pesa. Kama anataka aseme Sasa.
 

Pole Sana mkuu pia. Inaumiza Sana watu kutojali muda wa wengine. Hata Mimi napanga kuhama hapo na kwenda UDSM. Nimekubali kupoteza pesa zangu zote za ada nilizolipa.
 
Ila Masters wako active sana
Wanatafuta u profesa hao ila
UDSM pia kuna shida sana supervisors kuanzia level ya Masters

Sema hawajui kuwa chuo kikubwa kama UDSM hao una supervise wengine usalama wa taifa au baadaye waweza kuwa mabosi makatibu wakuu,mawaziri,maraisi nk wa kipewa nafasi ya ku recommend nani awe nani in future waweza comment supervisor wao au hata supervisor wao akiwa na Issue anaumwa ,kafiwa ,anaoza nk wanafunzi wake lazima wafurike na kuchangia
.
Sisemi wapewe digrii bure hapana vitu vyote vizangatiwe ila sio kuwa mkorofi supervisor kupindukia .Maisha ni mahusiano lakinii sio ya kupeana marks za bure lakini pia yasiwe ya kusumbuana kupindukia bila sababu za msingi
 

Asante mkuu kwa ushauri wako nadhani nitaenda UDSM.
 
Mimi sijui nipoje,,ila nawoana wanaoenda kusoma OPEN UNIVERSITY HAWANA AKILI,,,wameogopa kwenda Udsm au mzumbe kuogopa kufeli

Sio kweli kabisa. Nilienda OUT kwasababu kule unalipa ada kwa stage yako ya PhD thesis, ila UDSM na Mzumbe unalipa kila mwaka regardless upo stage gani. Hiyo tu. Ila waneniangusha Sana Open.
 
Supervisor akiona kazi yako haina jipya ni AI 75%, copy and paste 85%, haina mchango kwa chuo wala Taifa; hakika atakufanyia hayo yote. Kwa UDSM ungeshadisco; bora OUT wanakuvumilia

Punguza ujuaji. Naongolea kwamba proposal yangu haijawahi kusahishwa Wala kusomwa na supervisor. Kila nikienda hayupo na nikimpigia simu hapatikani kabisa na email hajibu miaka na miaka. Nikitaka kubadilisha supervisor yule secretary wao pale DPGS analeta dharau kibao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…