CHIEF MP
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,559
- 680
Kuangalia mpira na wanawake wana maswali,
>Mbona hawa Brazil hawamchezeshi Neymar ?
:aliumia mechi iliyopita, hawezi kucheza
>mbona hawajamkodi MESSI?
:hairuhusiwi kukodi..
>Kwann asihamie Brazili?
:izo sio nyumba za kupanga kwamba anahamia tu,mpaka uwe una uraia wa nchi yako.
>Mbona hadi wanawake wanacheza umo uwanjani?
:wapo wapi hao wanawake
>Si hao wa Brazil wenye nywele ndefu?
:hapana hao ni wanaume, mmoja anaitwa David Luiz,na huyo mwingine WILLIUM
>Mbona hao wengine wanapiga penalty tano wenyewe? eti refa anapendelea?
:hakuna penalty hapo ni magoli, Brazil wamezidiwa wanafungwa..
>Eti mbona goli 7 ni nyingi na ni dk ya 80, kwanini refa hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
::sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie.
>Huu si mpira wa miguu?
::Ndio we, nyie mnaonaje?
>Mbona huyo mwingine anadaka na mikono?
:huyo ni kipa
>Kwanini huyu kipa wa Brazil asikimbie na mpira adi goli jingine alafu afunge apunguze magoli au hajui huo ujanja?
Aaaaaaa jamani
>Mbona hawa Brazil hawamchezeshi Neymar ?
:aliumia mechi iliyopita, hawezi kucheza
>mbona hawajamkodi MESSI?
:hairuhusiwi kukodi..
>Kwann asihamie Brazili?
:izo sio nyumba za kupanga kwamba anahamia tu,mpaka uwe una uraia wa nchi yako.
>Mbona hadi wanawake wanacheza umo uwanjani?
:wapo wapi hao wanawake
>Si hao wa Brazil wenye nywele ndefu?
:hapana hao ni wanaume, mmoja anaitwa David Luiz,na huyo mwingine WILLIUM
>Mbona hao wengine wanapiga penalty tano wenyewe? eti refa anapendelea?
:hakuna penalty hapo ni magoli, Brazil wamezidiwa wanafungwa..
>Eti mbona goli 7 ni nyingi na ni dk ya 80, kwanini refa hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
::sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie.
>Huu si mpira wa miguu?
::Ndio we, nyie mnaonaje?
>Mbona huyo mwingine anadaka na mikono?
:huyo ni kipa
>Kwanini huyu kipa wa Brazil asikimbie na mpira adi goli jingine alafu afunge apunguze magoli au hajui huo ujanja?
Aaaaaaa jamani