Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,016
Kwani aliyeeandilka hii ni jamaa au FATU hapo!jamaa kafunguka kisa tumbo, na hizi fasheni za siku hizi ni zaidi ya kuona matumbo
unajua kwetu uswazi kitambi ni dili. aliposema nimependa tumbo lako alikuwa anamaanisha nimependa pesa zakoNimecheka mpaka basi!!Huu sasa wizi!!Eti nimependa tumbo lako!!!!
Rev wa ukweli, vp? mbona kimya sana? au binti wa Kizanzibari kisha kutia kwenye chupa?Hii kitu imetulia halafu Fatma anatumia tiGo