Siri yafichuka: Kumbe hakimu Arusha alishawishiwa na Mkuu wa Mkoa kukataa kumtoa Lema!

Hivi kushinda mahakamani ndio kutatua kero za wananchi au Dk slaa kushinda mahakamani ndio kueneza chadema acheni siasa za majitaka unamsifia slaa kwenda mahakamani wakati kazi za chama zinadoda
 
if we must die but heroes death,our surrender is our bloodshed,remember history will not 4give if we do not liberate ourselves
 
Sioni cha maana hapa kubishana na wafuasi wa magamba wengi wanatumiwa kuvuruga mada better ignore them
 
Hivi kushinda mahakamani ndio kutatua kero za wananchi au Dk slaa kushinda mahakamani ndio kueneza chadema acheni siasa za majitaka unamsifia slaa kwenda mahakamani wakati kazi za chama zinadoda


Dr Slaa kazi za kwenda mahakamani atafazifanya na pia kueneza CDM. Huna moral authority ya kumpangia kazi! Mwaka huu mtajibeba magamba vita kotekote hata mkiajiri mapolisi wengine elfu kumi, ukombozi waja.
 
Magwanda kila mtu ana maamuzi yake...kila siku huwa nawafananisha na gari bovu.
Leo Zitto atasema hiki, Kesho Lissu naye atakuja na lake, Slaa naye tena ataleta lake, Regia naye hatakosekana.
Kwa kifupi chadema bado ni organization amabayo individualism imetawala!
Ni chama ambacho hakiwezi kupose threat yoyote kwa serikali.

Badala ya kushughulikia uchumi wa nchi, hali ngumu ya maisha, serikali haina fedha inaona aibu kutangaza kuwa imefilisika, kutembeza bakuli kwa kuomba misaada kwa mabasha huku wanajifanya hawataki ushoga lakini misaada wanaitaka, thamani ya shilingi inazidi kuporomoka, wanaacha kutekeleza ahadi lukuki walizoahidi wananchi maisha bora wanahangaika na Lema, Mbowe, Slaa, Lissu, Regia nk. hadi 2015 kutakapopambazuka watajikuta bado wamejifunika shuka na ndoto za CDM. Yetu macho.
 
Nilijiuliza sana huyu shushushu dc wa bagamoyo amepewaje first appointment mkoa maarufu kama wa Arusha?

-amepelekwa pale kudhibiti kasi ya upinzani
-amepelekwa pale kuteka siri za watendaji wa serikali wanaosupport opposition na kuzifikisha kwa wakuu wake
kama mtakumbuka huyu bwana alipokuwa dc bagamoyo alikuwa na mkwaruzano na watendaji from halmashauri kuanzia DED na wakuu wa idara mbalimbali na hivyo kukwamisha maendeleo mengi hadi kufikia hatua ya waziri mkuu MKP kufika pale na kuwasimamisha kazi maafisa kadhaa kwa mtindo wa papo kwa papo na kufunguliwa kesi inayoendelea hadi sasa kuhusu matumizi ya about 800m
Watendaji wapya walipoingia kuanzia DED,Mweka hazina,mkaguzi wa ndani ,wakuu wa idara za maji,ujenzi,kilimo,afya na elimu walikuwa hawezi kufanya kazi zao kiufanisi kwani wafanyakazi wa halmashauri waliwahisi ni mapandikizi na hivyo kukosa ushirikiano
Sasa kazi ile kaianza arusha... kumbuka wilaya aliyotoka ndo kwa mkulu wa kaya na ukivita kumbukumbu siku ya kuapishwa ndiye yule mkulu alimrekebisha tai na kumpa msisitizo kuwa kafanya kazi niliyokutuma kama vile kocha anavyompa maelekezo mchezaji wa akiba kabla hajaingia uwanjani.
Mpo???
 
Back
Top Bottom