Duh!View attachment 368469 mshua naye msela kavaa herini
mambo haya yanachanganya sana. kuna daktari mmoja aliwahi kuniambia ukitaka kujua kuwa una maradhi ya presha au sukari tazama kiganja au unyayo wako utaona madoti doti mengi.. we unasema le mutuzi ana akili sanaAmini usiamini siri ya mafanikio ya le akili kubwazz imejulikana leo baada ya kupost picha kiwa ze dodomaz katika harakati za kumkabidhiz chamaz mr pombe
Ni kidoti kilichopo unyayoni ambacho wataalamu wa elimu nyota wanakuambia ni alama ya magenius yaani akili kubwaaz
Hali hiyo iliwafanya ma fans wa ze king of sosho midia kuuliza miguu vepeeee??yaani walikuwa wa me decode siri flani amazing.
Cheeers
View attachment 368296
jiran weekend hii nitakua StockholmHii ya kidoti nayo kali
Utafika hadi North? Au unaishia huko tu?jiran weekend hii nitakua Stockholm
Aiseeeee!!!!Huyu Jamaa nae Anapenda ShowOff sana kwan mpaka aonyeshe Chumba? Halafu hyo lugha ya kuongezea Le Zzzz sio ishu
Hahahaha uknw le fiancee.. Sasa sijui kwanini hakwenda na mchumba hadi ana lala peke yake kwenye likitanda likubwa namna hiyo..
Hakuna hata binti hapo kwenye picha wote ni akina mama wakubwa tu.Huyo jamaa anapenda sana kukaa na mabinti sijui anamatatizo gan?View attachment 368506
Ni kweli, nakumbuka siku ya mazishi ya mama ilitumwa thread ambayo ilikuwa inaonyesha pale nyumbani kwa marehemu mama yake, Mods waliifuta haraka sana kwa kuwa kahouse kalikuwa ka kawaida mnooooHimu ndani nadhani lemubebezz ana share na admin maana ukimsema vibaya huyu babu lazima post yako ufutwe au utakuta inapigwa locki