Siri ya Rais Magufuli kuhusu uteuzi yabainika

Hivi unajua kuwa wasomaji wa upuuzi wako online ni wachache sana kuliko idhaniavyo?? Uko bize kufungua uzi zisizo na mashiko wala ushahidi, tumia magazeti ya kuchapisha angalau utawafikia watu kadhaa ingawa bado watakupuuza.
Mkuu hii habari ameitoa gazeti la Mwananchi.......
 
Imeelezwa kuwa siri ya Rais John Magufuli kufanya uteuzi wa Watanzania wataalamu wa ndani badala ya kuchukua wanaofanya kazi nje ya nchi, ni pamoja na msimamo wake wa kutolipa mishahara mikubwa lakini pia kuwatia moyo wasomi waliamua kubaki nyumbani.

Katika kipindi cha mwaka mmoja, Rais Magufuli ameonekana kuteua wataalamu na wasomi kutoka sekta binafsi na taasisi za umma ikiwamo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tofauti na mtangulizi wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliyeonekana wakati mwingine akichukua Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hata hivyo, wachambuzi wameeleza kuwa licha ya Watanzania wote kuwa na haki ya kufanya kazi nchini kwa sifa na vigezo vinavyohitajika, kinachotakiwa kuangaliwa ni uwezo na vipaumbele vya wataalamu wanapopatikana.

Miongoni mwa wachambuzi waliozungumzia mazingira hayo, Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Repoa, Dk Abel Kinyondo aliyesema licha ya muda mfupi ambao amekaa madarakani, ni vyema Rais Magufuli kuchukua tahadhari katika uteuzi wake.
Hata hivyo bado ni sawa. Kwa nini mtu aache kazi yake ya kimataifa na analipwa hela nzuri tu.
ATEULIWE.
Baada ya muda mfupi awekewe FITINA kisha ATUMBULIWE.
Ni afadhali watu wa ndani hapa maana ngoma hii wameizoea TEUA, TENGUA,
Bila hata kutafuta LEGAL REDRESS/Msaada KOTINI.
Huo mchezo wasomi wa nje hawawezi kuvumilia!
 
Imeelezwa kuwa siri ya Rais John Magufuli kufanya uteuzi wa Watanzania wataalamu wa ndani badala ya kuchukua wanaofanya kazi nje ya nchi, ni pamoja na msimamo wake wa kutolipa mishahara mikubwa lakini pia kuwatia moyo wasomi waliamua kubaki nyumbani.

Katika kipindi cha mwaka mmoja, Rais Magufuli ameonekana kuteua wataalamu na wasomi kutoka sekta binafsi na taasisi za umma ikiwamo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tofauti na mtangulizi wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliyeonekana wakati mwingine akichukua Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hata hivyo, wachambuzi wameeleza kuwa licha ya Watanzania wote kuwa na haki ya kufanya kazi nchini kwa sifa na vigezo vinavyohitajika, kinachotakiwa kuangaliwa ni uwezo na vipaumbele vya wataalamu wanapopatikana.

Miongoni mwa wachambuzi waliozungumzia mazingira hayo, Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Repoa, Dk Abel Kinyondo aliyesema licha ya muda mfupi ambao amekaa madarakani, ni vyema Rais Magufuli kuchukua tahadhari katika uteuzi wake.
KAMA MUMEKOSA YA KUANDIKA KAENI KIMYA. SASA IMESAIDIA NINI. ALAAAAAAAA MUNATUBOA BHANA. SERIKALI YENU INA MWAKA 1 TU LAKINI TUMEICHOKA UTAFIKIRI INA ZAIDI MIAKA 20 KAMA YA MSEVENI. LIPI LA AJABU KULIKO KIKWETE? MUNABOA SANAAAAAAAAAAA.
 
Imeelezwa kuwa siri ya Rais John Magufuli kufanya uteuzi wa Watanzania wataalamu wa ndani badala ya kuchukua wanaofanya kazi nje ya nchi, ni pamoja na msimamo wake wa kutolipa mishahara mikubwa lakini pia kuwatia moyo wasomi waliamua kubaki nyumbani.

Katika kipindi cha mwaka mmoja, Rais Magufuli ameonekana kuteua wataalamu na wasomi kutoka sekta binafsi na taasisi za umma ikiwamo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tofauti na mtangulizi wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliyeonekana wakati mwingine akichukua Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hata hivyo, wachambuzi wameeleza kuwa licha ya Watanzania wote kuwa na haki ya kufanya kazi nchini kwa sifa na vigezo vinavyohitajika, kinachotakiwa kuangaliwa ni uwezo na vipaumbele vya wataalamu wanapopatikana.

Miongoni mwa wachambuzi waliozungumzia mazingira hayo, Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Repoa, Dk Abel Kinyondo aliyesema licha ya muda mfupi ambao amekaa madarakani, ni vyema Rais Magufuli kuchukua tahadhari katika uteuzi wake.
Na wasiwasi mlimani muda si muda itakuwa haina walimu
 
Imeelezwa kuwa siri ya Rais John Magufuli kufanya uteuzi wa Watanzania wataalamu wa ndani badala ya kuchukua wanaofanya kazi nje ya nchi, ni pamoja na msimamo wake wa kutolipa mishahara mikubwa lakini pia kuwatia moyo wasomi waliamua kubaki nyumbani.

Katika kipindi cha mwaka mmoja, Rais Magufuli ameonekana kuteua wataalamu na wasomi kutoka sekta binafsi na taasisi za umma ikiwamo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tofauti na mtangulizi wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliyeonekana wakati mwingine akichukua Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hata hivyo, wachambuzi wameeleza kuwa licha ya Watanzania wote kuwa na haki ya kufanya kazi nchini kwa sifa na vigezo vinavyohitajika, kinachotakiwa kuangaliwa ni uwezo na vipaumbele vya wataalamu wanapopatikana.

Miongoni mwa wachambuzi waliozungumzia mazingira hayo, Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Repoa, Dk Abel Kinyondo aliyesema licha ya muda mfupi ambao amekaa madarakani, ni vyema Rais Magufuli kuchukua tahadhari katika uteuzi wake.
mbona umetuacha kwenye mataa........achukue tahadhari zipi?
 
Sijui hii dhana nzima ya "kubana matumizi" inamaanisha nini hasa? Kwa manufaa ya nani? Ni lini mlengwa ataanza kunufaika na hayo matumizi yaliyobanwa?
 
Eti wachambuzi, hivi tanzania kuna wachambuzi??? kati ya watalaam ambavyo najua nchi hii imekosa ni WAANDISHI WA HABARI NA WACHAMBUZI WA HABARI.
 
Tcra nenden mkawaulize dstv kwa nn hawana chanel ya bure,haf peke yao local chanels hulipiwa bei kubwa,wapandishe chanel za biashara na co chanel zote,tena tcra mlipaswa kuweka costant price 4 local chanels na co kila mmoja bei yake la sivyo m2rudishe kwene analogy ye2 kwan inamgusa mwananch wa kawaida kupata habari! haf mna2danganya ccm ya watu hal ya chn na kawaida!
 
arsenal aliponea chupuchupu jana..aliambulia point 1 na kufikisha point 41 kwenye msimamo wa ligi kuu uingereza!

maana ile mechi ya simba ilivyokuwa, ukizingatia kombe la Afcon nalo halipo mbali, tangu jerry Murro amefungiwa, hali ya maisha imekuwa ngumu, ila lema atatoka tu. kwa vile wakazi wa kagera ile hali washaizoea.
 
Can you run GOV'T without exposured ppls..?
--MUNGU ATUHURUMIE-

Unaweza ukawa msomi uliyeko ndani na ukawa na exposure! Sio lazima uwe diaspora!! Kwa upande wangu naona ni heri wenye exposure afu tunao humu ndani, kuliko anayefanya kazi nje maana kuna uwezekano wa kuwa used na mazingira ya nje kuliko ya ndani!!!
 
Imeelezwa kuwa siri ya Rais John Magufuli kufanya uteuzi wa Watanzania wataalamu wa ndani badala ya kuchukua wanaofanya kazi nje ya nchi, ni pamoja na msimamo wake wa kutolipa mishahara mikubwa lakini pia kuwatia moyo wasomi waliamua kubaki nyumbani.

Katika kipindi cha mwaka mmoja, Rais Magufuli ameonekana kuteua wataalamu na wasomi kutoka sekta binafsi na taasisi za umma ikiwamo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tofauti na mtangulizi wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliyeonekana wakati mwingine akichukua Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hata hivyo, wachambuzi wameeleza kuwa licha ya Watanzania wote kuwa na haki ya kufanya kazi nchini kwa sifa na vigezo vinavyohitajika, kinachotakiwa kuangaliwa ni uwezo na vipaumbele vya wataalamu wanapopatikana.

Miongoni mwa wachambuzi waliozungumzia mazingira hayo, Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Repoa, Dk Abel Kinyondo aliyesema licha ya muda mfupi ambao amekaa madarakani, ni vyema Rais Magufuli kuchukua tahadhari katika uteuzi wake.
Hii siri imeibuliwa na Mwandishi mbobezi wa makala za kiuchunguzi , ndg Saed Kubenea , aliyefanya uchunguzi na kila jumatano kuwa anaandika makala za kifisadi kuhusu lowasa 2008 ,

Hii , nchi ina journalist wa ajabu sijawahi kuona au kwa sababu wengi wao ni failure failure tu

Bado najiuliza
 
Back
Top Bottom