financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,134
- 40,699
Ogeshaneni kwanza kabla hamjaanza kunusana mkuu, mtu katoka mabagala na daladala kaenda Tegeta huko kwa babe then kafika tu na mijasho yake unaanza kumparamia unategemea usiskie harufu mbaya?Natural smell nyingine zimezidi kama mzoga wa mbwa!!!