Siri Ya Masheikh Kukamatwa Akiwemo MADUGA

Siri Ya Masheikh Kukamatwa Akiwemo MADUGA

Ng'egera

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
766
Reaction score
420
Wimbi la kukamatwa masheik na wengine kuuawa na watu wasiojulikana limeshika kasi duniani hususani tanzania ikiwa hivi juzi kukamatwa kwa sheikh MADUGA wa morogoro maarufu katika kipindi cha mwangaza kwa jamii radio imaan.

Tujiulize Kwanini Nchi Zenye Lasilimari Ambazo Haikupewa Uwekezaji Marekani Ndio Huwa Na Fujo Kupitia Mgongo Wa Waislam Katika Nchi Husika Basi Vitina Hizi Zinatengenezwa Na Mmarekani Ili Kujinufaisha Kiuchumi Kwa Kutumia Mtaji Mdogo Wa Wanajeshi Wake Kwa Kujifanya Anakuja Kulinda Amani Kumbe Anakuja Kuchukua Mali Ambazo Zitakua Hazina Mwangalizi Kwani Serikali Itakua Bize Na Wanaoleta Fujo Hilihali Wao Wanachukua Mali.

Mbinu Hii Ya Kukamata Masheikh Na Kuwaua Ndio Iliyotumika Nigeria Kutengeneza Kundi Feki La Bokoharam Ambalo Athali Yake Ni Kuiyumbisha Serikali Ya Nigeria Hivyohivyo Kwa Isis Iraq Mambo Yashaanza Hapa Tz Wanakamata Masheikh Wakati Huo Hao Waalibifu Katika Mgongo Wa Ardhi.

Marekani Washaunda Kundi Ambalo Litaonekana Linapigana Kuwatetea Masheikh Au Kulipiza Kisasi Cha Kuuawa Au Kwa Kukatwa Kwa Masheilkh Wetu Hili Jambo Linatakiwa Liangaliwe Kwa Macho Matatu Kwani Nchi Hii Muda Si Mrefu Itaingia Katika Machafuko Kwani Viashiria Vikuu Vishajitokeza

~MAWAZO HAYAPIGWI RUNGU mwenye masikio na asikie
 
Marekani ni source of all evil hapa duniani, na yote kwakuwa anataka kumaintain his supremacy so he needs money at any cost
 
Mnaanzisha makundi ya kigaidi mkibanwa mnaanza kusema Sikujua ndie ameanzisha, mkiendekeze tabia hizi mtakuja kuzika dini iliyoasisiwa na mtume Muhamed S.W, hakuna siku nimesikia mtume amefanya mauaji toka nizaliwe, mgeukieni Mungu wenu!
 
Wakamatwe tu, eeeh, manake tumeshachoka!
 
Wazo lako zuri ila kiswahili loh!

Kiswahili kimeshuka sana, yaani hawawezi kutenganisha R na L, A na H au tamkiwa neno lenye GH ukiwa karibu unaweza kupoteza fahamu looh
 
napenda tujadili kwa hoja as great thinkers. na sio kwa maneno ya kitoto kama vile tupo fb! shame on you! kama uislam ni tatizo sema kwa reference na kama uislam una support terrorism onyesha ushahidi ili uelimishwe ...pitia blog hii. "what do they say about Muslim" pia ikiwa upo tayari kutanua fikra zako ili kuondokana na mawazo mgando ya kujisemea with no reference jitahidi kila ijumaa kununua gazeti la "Annuur" wale jamaa wanachambua vizuri mno masuala ya ugaidi unavyohusishwa na uislam...
nb: NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK... pia ujinga wako usizidi busara zako...
 
...basi tuseme uislam unachafuliwa na waislam wenyewe, kwa mifano uliyoitoa ya IS boko haram, al shabab etc, mi nina video za waislam nyingi zinazohamasisha machafuko, tena misikitini, na kama utahitaji naomba kwa kauli yako uniruhusu nizipost kwenye huu uzi
 
.....Pumbavuuuuuuuuuu!!!! Kuna watu vichaa eeh hapa duniani?. Kila kitu Mmarekani ndo chanzo, sijui ni nani kawaroga mijitu ya aina hii?

Eti, wanakamatwa Masheikh na wengine kuuwawa ili wachukue Rasilimali vizuri, hata mtoto mdogo hawezi kuwa na mawazo ya kipuuzi mithili hii. Kwani wasimamizi wa Rasilimali za Taifa ni masheikh? Wengi wao ni mbumbumbu ajabu unadhani watasaidia hizo mali zisichukuliwe?

JK ambaye ndo Rais wa nchi hii na ndugu yenu kiimani mbona hawasaidii kama mnahisi mnaonewa? Hata ningekuwa mimi ndo Rais kisha Muislam halafu Masheikh wote wauliwe au wakamatwe(kama unavyodai) kwa uzembe au makosa ya kujitakia, ndo kwanza ningechekelea.

........Ni mtazamo tu!!
 
nikweli machafuko tanganyika hayako mbali dariri ni namna waislam wanavyopiga kelele ya kudhulumiwa ilihari rais ni mwislam mwenzao na ndio aliewadanganya wamwezeshe nae atawajali kumbe uwongo sasa akiingia rais kafiri sindio mtaanza kujiripua
 
Abu Hurairah(r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema"Yule aliyemwamini Allah na siku ya mwisho Hatamdhuru jirani yake, atamkirimu mgeni wake na ataongea mazuri au atakaa kimya.
[Bukhari na muslim]
 
Marekani ni source of all evil hapa duniani, na yote kwakuwa anataka kumaintain his supremacy so he needs money at any cost
Get a life kijana. Hizi chuki zako zitakuua wewe
 
Nasikia kuna kundi ktk Waislam ambalo LINATAKA SEREKALI ZIONGOZWE KIISLAM . Sasa hawa ndio msingi wa ugaidi wakitaka kuziangusha serekali za kawaida ili Sharia ichukue Nafasi yake.
Ktk jitihada za kuangusha serekali maafa makubwa yametokea ktk nchi husika hapo ndipo Marekani na Nchi zingine zinapo ingilia ili kunusuru maisha ya watu . Mf. Nigeria Boko haram wanataka nchi iongozwe Ki -Sharia na wanafanya vitendo vingi kigaidi ili kuitatiza serekali ishindwe kutawala. Na ktk hatua hizi jumuia ya kimataifa wala marekani haija ingia hapo!
 
.....Pumbavuuuuuuuuuu!!!! Kuna watu vichaa eeh hapa duniani?. Kila kitu Mmarekani ndo chanzo, sijui ni nani kawaroga mijitu ya aina hii?

Eti, wanakamatwa Masheikh na wengine kuuwawa ili wachukue Rasilimali vizuri, hata mtoto mdogo hawezi kuwa na mawazo ya kipuuzi mithili hii. Kwani wasimamizi wa Rasilimali za Taifa ni masheikh? Wengi wao ni mbumbumbu ajabu unadhani watasaidia hizo mali zisichukuliwe?

JK ambaye ndo Rais wa nchi hii na ndugu yenu kiimani mbona hawasaidii kama mnahisi mnaonewa? Hata ningekuwa mimi ndo Rais kisha Muislam halafu Masheikh wote wauliwe au wakamatwe(kama unavyodai) kwa uzembe au makosa ya kujitakia, ndo kwanza ningechekelea.

........Ni mtazamo tu!!

Sidhani kama itakuwa sahihi kwa kuwa kiongozi wa nchi ni wa imani flani basi wananchi wenye imani kama yake kufanya lolote hata liwe kinyume na sheria za nchi
 
Chaichungu

Hatarilakinisalama

Tumewamiss
 
Wimbi la kukamatwa masheik na wengine kuuawa na watu wasiojulikana limeshika kasi duniani hususani tanzania ikiwa hivi juzi kukamatwa kwa sheikh MADUGA wa morogoro maarufu katika kipindi cha mwangaza kwa jamii radio imaan.Tujiulize Kwanini Nchi Zenye Lasilimari Ambazo Haikupewa Uwekezaji Marekani Ndio Huwa Na Fujo Kupitia Mgongo Wa Waislam Katika Nchi Husika Basi Vitina Hizi Zinatengenezwa Na Mmarekani Ili Kujinufaisha Kiuchumi Kwa Kutumia Mtaji Mdogo Wa Wanajeshi Wake Kwa Kujifanya Anakuja Kulinda Amani Kumbe Anakuja Kuchukua Mali Ambazo Zitakua Hazina Mwangalizi Kwani Serikali Itakua Bize Na Wanaoleta Fujo Hilihali Wao Wanachukua Mali.Mbinu Hii Ya Kukamata Masheikh Na Kuwaua Ndio Iliyotumika Nigeria Kutengeneza Kundi Feki La Bokoharam Ambalo Athali Yake Ni Kuiyumbisha Serikali Ya Nigeria Hivyohivyo Kwa Isis Iraq Mambo Yashaanza Hapa Tz Wanakamata Masheikh Wakati Huo Hao Waalibifu Katika Mgongo Wa Ardhi Marekani Washaunda Kundi Ambalo Litaonekana Linapigana Kuwatetea Masheikh Au Kulipiza Kisasi Cha Kuuawa Au Kwa Kukatwa Kwa Masheilkh Wetu Hili Jambo Linatakiwa Liangaliwe Kwa Macho Matatu Kwani Nchi Hii Muda Si Mrefu Itaingia Katika Machafuko Kwani Viashiria Vikuu Vishajitokeza ~MAWAZO HAYAPIGWI RUNGU mwenye masikio na asikie
mkipigania mali za wote kutoka mtwara hadi kagera, mbeya,kilimanjaro, tanga na kigoma ntawaunga mkono.
 
...basi tuseme uislam unachafuliwa na waislam wenyewe, kwa mifano uliyoitoa ya IS boko haram, al shabab etc, mi nina video za waislam nyingi zinazohamasisha machafuko, tena misikitini, na kama utahitaji naomba kwa kauli yako uniruhusu nizipost kwenye huu uzi

.....Pumbavuuuuuuuuuu!!!! Kuna watu vichaa eeh hapa duniani?. Kila kitu Mmarekani ndo chanzo, sijui ni nani kawaroga mijitu ya aina hii?

Eti, wanakamatwa Masheikh na wengine kuuwawa ili wachukue Rasilimali vizuri, hata mtoto mdogo hawezi kuwa na mawazo ya kipuuzi mithili hii. Kwani wasimamizi wa Rasilimali za Taifa ni masheikh? Wengi wao ni mbumbumbu ajabu unadhani watasaidia hizo mali zisichukuliwe?

JK ambaye ndo Rais wa nchi hii na ndugu yenu kiimani mbona hawasaidii kama mnahisi mnaonewa? Hata ningekuwa mimi ndo Rais kisha Muislam halafu Masheikh wote wauliwe au wakamatwe(kama unavyodai) kwa uzembe au makosa ya kujitakia, ndo kwanza ningechekelea.

........Ni mtazamo tu!!

Kwani Kuna Waarifu Wangapi Wamekamatwa Na Sare Za Jeshi Mbona Hatulaumu Kuwa Ni Wanajeshi
 
Back
Top Bottom