Wana chinja kama kuku na kuonyesha hadharani, pia wanateka watoto wa kike, wanaoa hata watoto wadogo, zana za kivita misikitini????wanapinga elimu ..vituko kibao. Hata majibu yao humu yanaonyesha jinsi walivyo, matusi, vitisho .....Pia kuna wakristo wa aina hii.
Shetani bwana, anatapatapa ndani ya wengi tu. Ila mwisho wake ni mbaya. Eti wanasingizia Amerika, Israel ni uongo mtupu.
Mimi nawajua Waislamu na Wakristo wazuri sana, na misikiti pia makanisa mazuri wana maadili. Ila maboko haramu na wenzao ni mashetani wakubwa sana.Humu pia kuna watu wa aina hii wa kusupport maovu, chuki, fujo....wako wanashabikia wakiwa ndani ya dini mfano kikristo au kiislamu au hana dini, fujo tuuuuuuu wana foka mapovu...