Siri ya Lowassa yavuja

lowasa lowasa lowasa... oyeeeeeeeeee
 
Kweli ccm imechoka mnoo.. Lowasa na ukawa kiboko Yao. Nijuavyo Mimi sifa za uteuzi WA waziri mkuu sifa moja wapo lazima awe mbunge WA kuchaguliwa na wananchi. Sasa sumaye agombei ubunge kokote kwa hyo Hana sifa ya kuteuliwa kuwa waziri mkuu kama ukawa itapewa ridhaa na wananchi. Sasa ccm sera zao zimegeuka kuwa pango na shimo la uongo,fitina,majungu,uzadiki na siasa maji taka. Wananchi atudanganyiki mwaka huu n mabadiliko na Lowasa mpaka magogoni.
 
Ili mtu awe waziri mkuu, ni sharti awe mbunge wa kuchaguliwa na wananchi. mbunge wa kuteuliwa na rais au chama viti maalum, hawezi kuteuliwa kuwa waziri mkuu. sumaye hagombei ubunge katika jimbo lolote, kwa hiyo, hatarajii kuwa mbunge wa kuchaguliwa mwaka huu; hivyo basi, sumaye hawezi kuteuliwa kuwa waziri mkuu. msukuma arudi shule akasome. aache blaablaa!
 
Mwaka huu ccm mtaomba majii...maana magoli yamewazidia.
 

Siyo kosa lake hizo ni hasira za kuzikosa ambulance za mzee alizopewa na kuzigeuza zake kumbe zilitakiwa ziwafikie wananchi.
 
Ccm mwaka huu bye bye....! Lowasa ndo hbr ya mjini
 
WE LIKES LOWASSA HATA MSEME NINI CHAGUO LETU NDIO HUYO!
HATUBADILIKI NGO,NGO,NGO!!
**LOWASSA 2015~2025**
ii
sasa si utoe hoja why you like lowassa! kila kitu kina upande wa pili..ndio maana mnaitwa wapumbavu/malofa.
 
huyu msukuma hajitambui kamwe. akifanikiwa kuwa mbunge atakuwa mbunge bomu kuliko hata lusinde.
 


Msukuma anadai kwamba EL akichaguliwa, ataunda serikali iliojaa watu wa ukanda wa kaskazini. Labda nimuelewe kwamba anapinga swala la Ukanda. Ni vyema.

Lakini aliendelea kusema kwamba "sasa ni wakati wa kanda ya ziwa kutoa rais" wa JMT.

Naona anajikanyaga mwenyewe!
 
Hata msemeje hapa lowasa tu. Halafu huyo msukuma kma ni sir anaxo bas zitakuwa ni siri nzuri za lowas kuwa raisi lkn kma ni siri chafu hata yy hapaswi kumpigia debe mtu yoote kwan atakuwa ameshiriki uchafu
 

Sasa kwa hizi paragraphs mbili za katikati mbona anajichanganya? Anamsema Lowasa kwa Ukanda bado yeye anapigia chapua ukanda. Pathetic
 
Sumaye alikuwa hajajiunga ukawa wakati huo, kwa hiyo ni uongo kusema Lowassa alikuwa na mpango wa kumteua Sumaye kuwa waziri mkuu. Hata hivyo mbona awamu ya 3 waziri mkuu na waziri wa fedha walitokea ukanda huo?
 
Kanyasu huyu aliyeuza miti nakuigeuza wilaya ya ngara kuwa jangwa..!??kanyasu huyu mtembea na wake za watu..huyu kanyasu mpaka sasa mo mkuu wa wilaya ya ngara,ila ni kati ya majizi na waaribudu nmewai kuona..!!polen wana geita..!!
 
Msukuma ana shida.... yaani hana la kumsema el.... anatafuta kukubalika ndani ya ccm asionekane msaliti....eti Sumaye awe waziri mkuu... kwa katiba ipi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…